Atlast nimempata
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 585
- 1,164
Zamani wanaume wenye familia tulikuwa tunanunua vitu kwa jumla, mchele kilo 50, unga kilo 25, sukari kilo 25, mafuta ya kula lita 20, sabuni kiroba kizima, sabuni carton nzima, ges mtungi wa kilo 30, nk, nk na mambo yalikuwa shwari kabisa familia haina shida.
Sasa jifanye unanunua vyote hivyo ndo utakuwa mwanzo wa kuua familia maana wanawake wa siku hizi Ukifanya hivyo huyo mama ataenda mtaa wa mbali na kufungua genge au duka na kupiga nusu ya kila kitu na kuanza biashara! Ziko familia nyingi zimeshindwa kuvuka baada ya mume kugundua 😣
Sasa jifanye unanunua vyote hivyo ndo utakuwa mwanzo wa kuua familia maana wanawake wa siku hizi Ukifanya hivyo huyo mama ataenda mtaa wa mbali na kufungua genge au duka na kupiga nusu ya kila kitu na kuanza biashara! Ziko familia nyingi zimeshindwa kuvuka baada ya mume kugundua 😣