Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
aisee mimi niende tu mikon huko kulimaMnaendaje na wakati mnapimwa kila nyumba kilazima
aisee mimi niende tu mikon huko kulimaMnaendaje na wakati mnapimwa kila nyumba kilazima
Watu wa dar hii inawahusu kipimo cha tezi dumeKwa wale wanaume wa Dar mtakaoenda kupimwa tezi dume wekeni majina yenu hapa.
Hakuna kwenda mwanaume wa dar tunawajuaaisee mimi niende tu mikon huko kulima
Wataenda kupimwa wapi si amesema anapita nyumba kwa nyumbaKwa wale wanaume wa Dar mtakaoenda kupimwa tezi dume wekeni majina yenu hapa.
Hahahaaa.... KipimoKwa wale wanaume wa Dar mtakaoenda kupimwa tezi dume wekeni majina yenu hapa.
RC awe wa kwanza kufanyiwaHahahaaa.... KipimoView attachment 753745
Inasemekana jiwe anahemea pale nyuma.Jamaa anataka wanaume wote wa Dsm wawe na misambwanda kama lile limsambwanda wake
Pengine tayariRC awe wa kwanza kufanyiwa
lazima upimwe na rindaKipimo cha tezi dume ni Ultrasound na kipimo cha damu kubwa.
Na kila atkayepita kupima akiwa wa kiume nye apimwe hadharani kabla ili kuondoa hofuRC awe wa kwanza kufanyiwa
Dah umenichekesha sanaHujabakiza Ky kidogo umsaidie ndugu yako jingalao maana alikuwa anahaha kuisaka!!anasema yule doctor wake anaingiza Dole kavukavu bila hata glove!! Poleni
Mimi nimeshabadili jinsiaKwa wale wanaume wa Dar mtakaoenda kupimwa tezi dume wekeni majina yenu hapa.