Wanaume wengi wanasumbuliwa na Saratani ya Koo la Chakula ikifuatiwa na Saratani ya Tezi Dume

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
Meneja wa Huduma za Kinga, Dkt. Maguha Stephano amesema takwimu za Ugonjwa wa Saratani katika Taasisi ya Ocean Road zinaonesha kuwa Wanaume wengi wanasumbuliwa na Saratani ya Koo la Chakula ikifuatiwa na Saratani ya Tezi Dume.

Amesema “Napenda kuwajulisha Wanaume kuwa tunafanya uchunguzi wa Magonjwa hayo katika huduma zetu hapa Singida, zinafanyika kwa njia rahisi kama vile tunavyopima Malaria na majibu yanapatikana ndani ya muda mfupi.”

Amesema hayo akiwa Mkoani Singida ambapo Taasisi ya Ocean Road inafanya Kampeni ya kutembelea Hospitali za Rufaa za Mikoa ili kushirikiana na Wataalam mbalimbali kwa lengo la kuhakikisha elimu inawafikia watu wengi zaidi kuhusu Ugonjwa wa Saratani.

Ameeleza kuwa huduma hiyo ya vipimo na elimu kuhusu ugonjwa huo katikakampeni yao hiyo Mkoani Singida ilianza kutolewa Alhamisi ya Septemba 21, 2023 na inatarajiwa kumalizika Jumapili Septemba 24, 2023.

Amesema “Lengo lingine la huduma zetu hapa ni kubadilishana uwezo kwa wataalam, kugundua Saratani mapema.

“Tunakumbushana na Wataalam kuwa wanatakiwa kutoa Rufaa mapema kwa kuwa ikigundulika mapema ni rahisi kupata matibabu.

‘Kwa kipindi cha Septemba 21 hadi 23 tumeona Wananchi 400 kati yao Wanaume ni 100 wakati Wanawake ni 300, kati yao zaidi ya watu 30 wameonekana kuwa na matatizo mbalimbali.

“Wanawake 6 wameonekana kuwa na viashiria vya Saratani, Wanawake watatu wameonekana kuwa na viashiria vya Satarani ya Matiti, sita wamegundulika kuwa na viashiria vya Satarani ya Mlango wa Kizazi.
e3d83cbf-fb95-4ddd-a231-1bb0bbd2225d.jpeg

cf373a6b-047d-4285-a163-05a1e0b20c04.jpeg

“Pia kati ya Wanaume 100 waliopimwa, wawili wameonekana kuwa na viashiria vya Tezi Dume ambapo tumewaelekeza wafanyiwe uchunguzi zaidi na baadaye kwenda katika Taasisi ya Ocean Road kwa ajili ya matibabu zaidi.

“Ikumbukwe kuwa huduma hii tunayoitoa hapa ni bure kama ambavyo tunatekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu aliyotoa, hiyo pia inaambatana na huduma ya kumuona daktari bingwa, nawasisitiza watu wa Singida wana nafasi ya kuja kupata huduma ya vipimo bila malipo kwa kuwa Jumapili ya Septemba ndio itakuwa mwisho kwa hapa Singida.”
b1eee825-9e1c-4894-af7a-6c6a1bc48b8b.jpeg
 
Meneja wa Huduma za Kinga, Dkt. Maguha Stephano amesema takwimu za Ugonjwa wa Saratani katika Taasisi ya Ocean Road zinaonesha kuwa Wanaume wengi wanasumbuliwa na Saratani ya Koo la Chakula ikifuatiwa na Saratani ya Tezi Dume.

Amesema “Napenda kuwajulisha Wanaume kuwa tunafanya uchunguzi wa Magonjwa hayo katika huduma zetu hapa Singida, zinafanyika kwa njia rahisi kama vile tunavyopima Malaria na majibu yanapatikana ndani ya muda mfupi.”

Amesema hayo akiwa Mkoani Singida ambapo Taasisi ya Ocean Road inafanya Kampeni ya kutembelea Hospitali za Rufaa za Mikoa ili kushirikiana na Wataalam mbalimbali kwa lengo la kuhakikisha elimu inawafikia watu wengi zaidi kuhusu Ugonjwa wa Saratani.

Ameeleza kuwa huduma hiyo ya vipimo na elimu kuhusu ugonjwa huo katikakampeni yao hiyo Mkoani Singida ilianza kutolewa Alhamisi ya Septemba 21, 2023 na inatarajiwa kumalizika Jumapili Septemba 24, 2023.

Amesema “Lengo lingine la huduma zetu hapa ni kubadilishana uwezo kwa wataalam, kugundua Saratani mapema.

“Tunakumbushana na Wataalam kuwa wanatakiwa kutoa Rufaa mapema kwa kuwa ikigundulika mapema ni rahisi kupata matibabu.

‘Kwa kipindi cha Septemba 21 hadi 23 tumeona Wananchi 400 kati yao Wanaume ni 100 wakati Wanawake ni 300, kati yao zaidi ya watu 30 wameonekana kuwa na matatizo mbalimbali.

“Wanawake 6 wameonekana kuwa na viashiria vya Saratani, Wanawake watatu wameonekana kuwa na viashiria vya Satarani ya Matiti, sita wamegundulika kuwa na viashiria vya Satarani ya Mlango wa Kizazi.

“Pia kati ya Wanaume 100 waliopimwa, wawili wameonekana kuwa na viashiria vya Tezi Dume ambapo tumewaelekeza wafanyiwe uchunguzi zaidi na baadaye kwenda katika Taasisi ya Ocean Road kwa ajili ya matibabu zaidi.

“Ikumbukwe kuwa huduma hii tunayoitoa hapa ni bure kama ambavyo tunatekeleza maagizo ya Rais Samia Suluhu aliyotoa, hiyo pia inaambatana na huduma ya kumuona daktari bingwa, nawasisitiza watu wa Singida wana nafasi ya kuja kupata huduma ya vipimo bila malipo kwa kuwa Jumapili ya Septemba ndio itakuwa mwisho kwa hapa Singida.”
Safi sana
 
Sio fegi kweli? Na hizi pombe kazi chungu vibaya mno... Mtu nameza na kukunja sura hatari sana
 
About Throat Cancer:-

Throat cancer, also known as laryngeal cancer or pharyngeal cancer, can have various causes. Here are some common causes and risk factors associated with throat cancer:

1. Smoking: Tobacco use, including smoking cigarettes, cigars, or pipes, is one of the leading risk factors for throat cancer.
2. Alcohol consumption: Regular and excessive alcohol consumption, especially in combination with smoking, significantly increases the risk of developing throat cancer.
3. Human papillomavirus (HPV) infection: Certain strains of HPV, primarily transmitted through sexual contact, have been linked to an increased risk of developing throat cancer.


4. Gastroesophageal reflux disease (GERD): Chronic acid reflux can damage the cells in the throat, potentially increasing the risk of developing throat cancer.

5. Poor oral hygiene: Neglecting oral hygiene and dental care can lead to chronic inflammation, infections, or other issues, which may contribute to the development of throat cancer.
6. Exposure to certain chemicals and substances: Prolonged exposure to certain industrial chemicals, such as asbestos, nickel, sulfuric acid, or formaldehyde, may increase the risk of throat cancer.
7. Radiation therapy: Previous radiation treatment to the neck or chest for other conditions, such as for previous cancers or non-cancerous conditions, may elevate the risk of developing throat cancer.
8. Genetic factors: Some genetic syndromes, such as Fanconi anemia, can increase susceptibility to throat cancer.
9. Age and gender: Throat cancer is more common in people over the age of 50 and is more prevalent in men than women.

It is important to note that the presence of these risk factors does not guarantee the development of throat cancer, but rather increases the likelihood. Additionally, there may be other less common causes or risk factors specific to certain individuals. If you suspect any symptoms or concerns related to throat cancer, it is recommended to consult a medical professional for a proper diagnosis and guidance.
 
Back
Top Bottom