Wanaume wa dar hii too much

Wanaume wa dar hii too much

huku sisi hatutaki tabu kabisaaa.....

hadi tikiti maji tunakamua juisi tunanywea kwa mlija

Huko Dalisalama teknolojia ipo juu mkuu

Huku mikowani bado tunadumisha mila

Usiku mwema mkuu..ngoja nisinzie..kuni zimeisha huku kijijini hakuna stima...nimoto wa magogo.
 
Huko Dalisalama teknolojia ipo juu mkuu

Huku mikowani bado tunadumisha mila

Usiku mwema mkuu..ngoja nisinzie..kuni zimeisha huku kijijini hakuna stima...nimoto wa magogo.
upo mkoa gani wewe?? maana mikoani kote sio mikoan kwingine ni sawa na daslam tuu
 
imenibid nikufanyie ivi maana unadharau
1511699892855.jpg
 
basi badala ya kula ugali muwe muwe mnakula mahindi,

badala ya kukoboa mpunga mashineni muwe mnakoboa kwa mikono,

badala ya kununua cha kukunia nazi muwe mnauna kwa kucha zenu,

Maana haujua maana ya mashine, maana ya kurahisisha kazi, maana ya ku'save muda.
Siwashangai wanaokunywa juice ya muwa japo mi siwezi kwa ishu ya usafi tu
 
basi badala ya kula ugali muwe muwe mnakula mahindi,

badala ya kukoboa mpunga mashineni muwe mnakoboa kwa mikono,

badala ya kununua cha kukunia nazi muwe mnauna kwa kucha zenu,

Maana haujua maana ya mashine, maana ya kurahisisha kazi, maana ya ku'save muda.
Siwashangai wanaokunywa juice ya muwa japo mi siwezi kwa ishu ya usafi tu

Wacha mkuu ndo mnarahisha kazi mpaka kujichubuwa kwa technology lengo nini hasa wanaume wa Dalisalama?
 
Back
Top Bottom