MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
wanaume wa DaR wapo juu.dar ni chuo kikuu cha maisha.kama anaishi dar basi mheshimu sana.mia
Mtu mwenye akili na ufahamu usio na mashaka hawezi kucomment kwenye hii thread kama atakavyo mtoa mada kwani utajikuta unatukana kama siyo baba yako basi , mama, dada ,kaka na hata mjomba wako anayeishi Dar au Arusha. Nasema hivi kwa sababu kama niko Arusha na ninatoa comment hasi kwa wanaume wa Dar mimi ni mpumbavu kwa sababu pamoja na kuwa Ar lakini Dar kuna ndugu zangu weengi. Siwezi kuwa mnafiki na kuanza kutukana ndugu zangu walioko Dar mimi au uliyeko Dar uanze kutukana wanaume wa Arusha ukijumuisha ndugu zako waishi huku Ar.
Hii thread imekosa MASHIKO NA IKO KIMTAZAMO FINYU SANA YAANI SHORTSIGHTEDNESS SANA.