Wanaume ushawahi tongoza mdada, baada ya muda ukajishangaa na kujiuliza kwanini ulimtongoza

Balqior

JF-Expert Member
Jun 8, 2021
1,766
5,894
Habarini,

Unakutana na mdada unamuona mzuri, na personality yake inaridhisha kiasi, unaanza kumtongoza (anakubali) mnakua kwenye courtship phase, jinsi mnavokaa na kuongea nae miezi kadhaa inapita, jinsi muda unavoenda, interest yako kwake inashuka (hapo hujala mzigo) mwishowe mtu unaanza kujiuliza ilikuaje nikamtongoza huyu mdada, akili yangu ilikuwa wapi? wakati mda namtongoza nlikuwa sijalewa pombe.

Unakuta muonekano wa mdada uko vile vile, hajakukosea chochote ila upendo uliokua nao mwanzoni juu yake haupo tena, unamuona kama dada yako, hata kumuomba mzagamuo hutaki.

Hii hali imenikuta mm mpaka najihisi kuna mahali nina shida, mdada nliekuwa namuona pisi Kali miezi michache iliopita, baada ya kuongea nae kwa mda mrefu sahivi sijui namuonaje interest yangu kwake yoooote imeisha.
 
Habarini,

Unakutana na mdada unamuona mzuri, na personality yake inaridhisha kiasi, unaanza kumtongoza (anakubali) mnakua kwenye courtship phase, jinsi mnavokaa na kuongea nae miezi kadhaa inapita, jinsi muda unavoenda, interest yako kwake inashuka (hapo hujala mzigo) mwishowe mtu unaanza kujiuliza ilikuaje nikamtongoza huyu mdada, akili yangu ilikuwa wapi? wakati mda namtongoza nlikuwa sijalewa pombe.

Unakuta muonekano wa mdada uko vile vile, hajakukosea chochote ila upendo uliokua nao mwanzoni juu yake haupo tena, unamuona kama dada yako, hata kumuomba mzagamuo hutaki.

Hii hali imenikuta mm mpaka najihisi kuna mahali nina shida, mdada nliekuwa namuona pisi Kali miezi michache iliopita, baada ya kuongea nae kwa mda mrefu sahivi sijui namuonaje interest yangu kwake yoooote imeisha.
Wengi Kuna jambo Huwa hamwelewi!!

Kuna muonekano was nje na WA ndani,kama was nje umekuvutia je ule wa ndani (nafsi)imekuvuta Hadi mkavutiana!!?

Kuna chemistry ya ndani ambayo huleta ya nje!

Kama ya ndani imefeli ya nje haitowekana,macho yalikudanganya ndio maana ukaingia kichea kichwa,mvuto wa ndani haukuwepo!!

Sitisha mahusiano yawe dormant for good,msitafutane Kila mara na kila mmoja ata move on!
 
Upwiru ukikuzidi na ukakaa kwa muda mrefu mwanamke yeyote atakayepita mbele yako anakuwa mzuri.

Ila sasa baadaye...!
 
Back
Top Bottom