Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,394
No sijawai kuwa na mshangazi ila nawaogpa sana now🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe ni mshangazi!! Sasa huoni ulijichanganya mwenyewe!
No sijawai kuwa na mshangazi ila nawaogpa sana now🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe ni mshangazi!! Sasa huoni ulijichanganya mwenyewe!
Mayai yasipevuke kwa mwamba ila kwa pasta yapevuke?????Walienda hospital? Je kama mayai haya kupevuka vizuri ikawa mbegu zikifika zina shindwa rutubisha yai vzr?
Huwenda kipindi wanatafuta watoto yalikuwa hayaja pevuka binti kakosa uvumilivu tuMayai yasipevuke kwa mwamba ila kwa pasta yapevuke?????
Aaaaah thubutu labda wakukate kikojoleo!Sitopenda tena
Mabinti umri wao wa uzazi ni mdogo sana , wanaume wengi ni ngumu kuvumilia mwanamke mwenye tatizo la uzazi 🤔Huwenda kipindi wanatafuta watoto yalikuwa hayaja pevuka binti kakosa uvumilivu tu
Mimi ndio na kwambia labda itokee kimasihala tu na wewe ila sio mwingineAaaaah thubutu labda wakukate kikojoleo!
So una taka kusemaje?Mabinti umri wao wa uzazi ni mdogo sana , wanaume wengi ni ngumu kuvumilia mwanamke mwenye tatizo la uzazi 🤔
Ni suala la muda Tu Moyo utaachilia yote!Mimi ndio na kwambia labda itokee kimasihala tu na wewe ila sio mwingine
Dah,Acheni kiherehere cha kukimbilia DNA
Ila sitoacha kukupenda una jua iloNi suala la muda Tu Moyo utaachilia yote!
Pona kwanza hakuna ki masihara hapa🤣🤣🤣🤣🤣Ila sitoacha kukupenda una jua ilo
😀😃😄😁😆😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hao madogo wote ni wa mchungaji wa kanisa walipokuwa wanasali
Nisha poana baada ya kukusikiaPona kwanza hakuna ki masihara hapa🤣🤣🤣🤣🤣
Ila km kweliHao madogo wote ni wa mchungaji wa kanisa walipokuwa wanasali
Ni kweli kabisa huyo jamaa alikuwa mchezaji Nigeria....mke wake amemchiti na baba mchungaji wa kanisa laoIla km kweli
Relax achilia moyo!Nisha poana baada ya kukusikia
Nisha uachilia kwako si unausikia?Relax achilia moyo!