min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 47,836
- 132,245
Hahahaha inawezekana na wewe ni mlevi mwenzangu ndio maana ukapata busara ya kuona hili bwashee 😅Walevi sijui kwanini huwa mna busara sana
Hahahaha inawezekana na wewe ni mlevi mwenzangu ndio maana ukapata busara ya kuona hili bwashee 😅Walevi sijui kwanini huwa mna busara sana
Mwanamke ndio chanzo una onaKuna mwenzetu huku sijui atachomwa na magunia mangapi ya mkaa?
Yaani boss kajifanya rafiki WA mumewe kamuunganishia dili la kwenda huko Nchi za watu,huku nyuma bidada anatoka na bosi Hadi wamezaa mtoto mbaya zaidi mtoto na bosi Sura zao hazihitaji DNA na mahusiano Yao yameanza kitambo watu wote wanajua kasoro mumewe!!!
Tunasubiri msiba hapa Kati ya bosi,bidada na mwenye mke!!!
Mitano tena kwa boss🤣🤣🤣Kuna mwenzetu huku sijui atachomwa na magunia mangapi ya mkaa?
Yaani boss kajifanya rafiki WA mumewe kamuunganishia dili la kwenda huko Nchi za watu,huku nyuma bidada anatoka na bosi Hadi wamezaa mtoto mbaya zaidi mtoto na bosi Sura zao hazihitaji DNA na mahusiano Yao yameanza kitambo watu wote wanajua kasoro mumewe!!!
Tunasubiri msiba hapa Kati ya bosi,bidada na mwenye mke!!!
Haha hapana mkuu mimi mlevi wa togwa tu bwasheeHahahaha inawezekana na wewe ni mlevi mwenzangu ndio maana ukapata busara ya kuona hili bwashee 😅
Kwamba mlitaka hao madogo wasizaliwe? Mnaroho mbaya sana bwasheeMwanamke ndio chanzo una ona
Mwamba nae apimwe ubongo🤣Yani moja , mbili, tatu, inawezekana mwamba ndie mchepuko , mwenye watoto ndio mume halali 🤔
Kipenzi chetu Hussain Ali 🥺Safi Sana acha mabwege wagongewe tu na waendelee kulea watoto siyo wao. Kwasababu hawasikii na hawajifunzi.
Shida sio kuzaliwa una bebaje mimba ya mchepuko uku mumeo yup? Sawa mimba ya kwanza bahati mbaya na ya pili tenaKwamba mlitaka hao madogo wasizaliwe? Mnaroho mbaya sana bwashee
Umejaribu kutenga na pesa?Hamna upendo na wala hamthamini matendo mazuri tunayo wafanyia kama upendo una jinyima una tenga mda kwaajili yake ata kama upo bise ila una panga ratiba ili tu yeye afurah ila hamuoni
1,2,3 zote sio zako na mke ni wako , hapo mchawi sparms za mwamba , ajitafakari aseeMwamba nae apimwe ubongo🤣
Thibitisha Mungu yupo.Hawa ni mtu na mkewe wa ndoa kabisa ambapa wamebahatika kupata watoto watatu kwenye ndoa yao lakini baada yakupima DNA imegundulika kuwa watoto wote watatu sio wa mwanaume huyu
Yani Mwanaume unateseka unadharaulika kuhakikisha familia yako inapata huduma na malezi bora kumbe unaishi na mtu ambaye hisia zake ni za Usaliti
Mungu awadhalilishe Wanawake wote wenye tabia kama hizi, kama humpendi bora umuambie mapema yani watoto wote watatu nje ya ndoa
INAUMA SANA, WANAUME TUKAE KIMYA DAKIKA MOJA KISHA TULIE KWA HILI
🥲ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜View attachment 3414397
🎵🎵🎵🎵Mpende akupeendaeee🎵🎵🎵Mpende akupeendaeee asiyekupendaaa achana nae🎵🎵🎵🎵🎵🎵Hamna huruma ata kidogo mtu ana kupenda kwa moyo wote wew una amua kumuumiza kisa nini? Imagen hujawai mcheat
Hamna shukurani so mna thamini pesa kuliko utu wa mtu tena mishangazi na waogopa sanaUmejaribu kutenga na pesa?
Ukute mume hana uwezo wa kuzalisha, mke kajiongeza ili mume asijione mnyonge🤣🤣Shida sio kuzaliwa una bebaje mimba ya mchepuko uku mumeo yup? Sawa mimba ya kwanza bahati mbaya na ya pili tena
Sitopenda tena🎵🎵🎵🎵Mpende akupeendaeee🎵🎵🎵Mpende akupeendaeee asiyekupendaaa achana nae🎵🎵🎵🎵🎵🎵
Ukitendwa hivyo ndo unakomaa kiakili na kimwili,kikubwa usije ukalipiza maumivu yako kwa wengine watakaofuata!
🤣🤣🤣🤣🤣 kumbe ni mshangazi!! Sasa huoni ulijichanganya mwenyewe!Hamna shukurani so mna thamini pesa kuliko utu wa mtu tena mishangazi na waogopa sana
Walienda hospital? Je kama mayai haya kupevuka vizuri ikawa mbegu zikifika zina shindwa rutubisha yai vzr?Ukute mume hana uwezo wa kuzalisha, mke kajiongeza ili mume asijione mnyonge🤣🤣
Itafahamika Tu jamaa ukirudi na ajue kale katoto Sio kake🤗🤗🤗🤗Mitano tena kwa boss🤣🤣🤣
Unakuta kamtunzia heshima kwa busara , ila vijana wa siku hizi hawana koromea shindii🚮Ukute mume hana uwezo wa kuzalisha, mke kajiongeza ili mume asijione mnyonge🤣🤣