Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,309
- 18,517
😂😂😂
😂😂😂
Pole sana kijana Kunywa maji moyo wako ueleeWanawake wana umiza sana hawana hata huruma ase
Now nawachukia
Kataa Ndoa. Ni Kikwazo cha Maendeleo. 😂Utalipwa na Mungu yupi mzee, ukipigwa umepigwa tu na hakuna utakachofanya zaidi ya kulalama tu kama nguruwe pori aliyepigwa mshale, ishi kimasta dunia haitaki wanyonge
Noma bwasheKataa Ndoa. Ni Kikwazo cha Maendeleo. 😂
Halafu wa nje akaweza kurutubisha kwa miaka tofauti tofauti eeeh?Walienda hospital? Je kama mayai haya kupevuka vizuri ikawa mbegu zikifika zina shindwa rutubisha yai vzr?
Jamaa atakuwa muelewa tu, yanazungumzika.Itafahamika Tu jamaa ukirudi na ajue kale katoto Sio kake🤗🤗🤗🤗
Wapishi wa chachandu la kulia Pilau msibani tupo🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani hovyo kabisa. Unatunziwa heshima then unakwenda kufukunyua ya kufukunyua huko🙆♂️🙆♂️Unakuta kamtunzia heshima kwa busara , ila vijana wa siku hizi hawana koromea shindii🚮
Uko na shida wewe, sasa uko na shida na mashangazi tu au wanawake wote?No sijawai kuwa na mshangazi ila nawaogpa sana now
Gentleman na real man hizo ni code names za simp. Muulize mwanamke gentleman au real man ni mwanaume wa aina gani uone jinsi atakavyokufafanulia simpUlianza kuleta ugentleman Kwa sana ktk mahusiano tu you have to know you're doomed