Wanaume tutalipwa mengi na Mungu

Wanaume tutalipwa mengi na Mungu

Utalipwa na Mungu yupi mzee, ukipigwa umepigwa tu na hakuna utakachofanya zaidi ya kulalama tu kama nguruwe pori aliyepigwa mshale, ishi kimasta dunia haitaki wanyonge
Shindii katika ubora wake🤣🤣
 
Hawa ni mtu na mkewe wa ndoa kabisa ambapa wamebahatika kupata watoto watatu kwenye ndoa yao lakini baada yakupima DNA imegundulika kuwa watoto wote watatu sio wa mwanaume huyu

Yani Mwanaume unateseka unadharaulika kuhakikisha familia yako inapata huduma na malezi bora kumbe unaishi na mtu ambaye hisia zake ni za Usaliti

Mungu awadhalilishe Wanawake wote wenye tabia kama hizi, kama humpendi bora umuambie mapema yani watoto wote watatu nje ya ndoa

INAUMA SANA, WANAUME TUKAE KIMYA DAKIKA MOJA KISHA TULIE KWA HILI
🥲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭View attachment 3414397
Mtu anaamua kiroho safi tu kukupa uzao utakaoitwa kwa jjna lako then shetani anakudanganya ukapime DNA. Wanaume acheni hivi visebusebu. Ukute sample zilikosewa🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Utalipwa na Mungu yupi mzee, ukipigwa umepigwa tu na hakuna utakachofanya zaidi ya kulalama tu kama nguruwe pori aliyepigwa mshale, ishi kimasta dunia haitaki wanyonge
Walevi sijui kwanini huwa mna busara sana
 
Kuna mwenzetu huku sijui atachomwa na magunia mangapi ya mkaa?
Yaani boss kajifanya rafiki WA mumewe kamuunganishia dili la kwenda huko Nchi za watu,huku nyuma bidada anatoka na bosi Hadi wamezaa mtoto mbaya zaidi mtoto na bosi Sura zao hazihitaji DNA na mahusiano Yao yameanza kitambo watu wote wanajua kasoro mumewe!!!
Tunasubiri msiba hapa Kati ya bosi,bidada na mwenye mke!!!
 
Mwachi hata wewe!!

Tumekufanya nini kikubwa hivyo?
Hamna upendo na wala hamthamini matendo mazuri tunayo wafanyia kama upendo una jinyima una tenga mda kwaajili yake ata kama upo bise ila una panga ratiba ili tu yeye afurah ila hamuoni
 
Back
Top Bottom