Wanaume tutalipwa mengi na Mungu

Wanaume tutalipwa mengi na Mungu

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
330
Reaction score
1,244
Hawa ni mtu na mkewe wa ndoa kabisa ambapa wamebahatika kupata watoto watatu kwenye ndoa yao lakini baada yakupima DNA imegundulika kuwa watoto wote watatu sio wa mwanaume huyu

Yani Mwanaume unateseka unadharaulika kuhakikisha familia yako inapata huduma na malezi bora kumbe unaishi na mtu ambaye hisia zake ni za Usaliti

Mungu awadhalilishe Wanawake wote wenye tabia kama hizi, kama humpendi bora umuambie mapema yani watoto wote watatu nje ya ndoa

INAUMA SANA, WANAUME TUKAE KIMYA DAKIKA MOJA KISHA TULIE KWA HILI
🥲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
1000122847.jpg
 
Hawa ni mtu na mkewe wa ndoa kabisa ambapa wamebahatika kupata watoto watatu kwenye ndoa yao lakini baada yakupima DNA imegundulika kuwa watoto wote watatu sio wa mwanaume huyu

Yani Mwanaume unateseka unadharaulika kuhakikisha familia yako inapata huduma na malezi bora kumbe unaishi na mtu ambaye hisia zake ni za Usaliti

Mungu awadhalilishe Wanawake wote wenye tabia kama hizi, kama humpendi bora umuambie mapema yani watoto wote watatu nje ya ndoa

INAUMA SANA, WANAUME TUKAE KIMYA DAKIKA MOJA KISHA TULIE KWA HILI
🥲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭View attachment 3414397
Kukipwa na Mungu ni filra za kimasikini, mwanaume ni maamuzi

First project haija work, piga chini, futa chozi songa mbele, next project itawork
 
Inatakiwa iwekwe sheria kua kila mtoto atakayezaliwa ndani ya ndoa,iwe ni lazima mtoto apimwe DNA ili kuhakikisha kua ni wa Baba/Mume muhusika,

Ikiwekwe hii sheria,haya mambo yakubambikiwa yatapungua sana kama sio kuisha kabisa.
 
Hawa ni mtu na mkewe wa ndoa kabisa ambapa wamebahatika kupata watoto watatu kwenye ndoa yao lakini baada yakupima DNA imegundulika kuwa watoto wote watatu sio wa mwanaume huyu

Yani Mwanaume unateseka unadharaulika kuhakikisha familia yako inapata huduma na malezi bora kumbe unaishi na mtu ambaye hisia zake ni za Usaliti

Mungu awadhalilishe Wanawake wote wenye tabia kama hizi, kama humpendi bora umuambie mapema yani watoto wote watatu nje ya ndoa

INAUMA SANA, WANAUME TUKAE KIMYA DAKIKA MOJA KISHA TULIE KWA HILI
🥲😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭View attachment 3414397
Safi Sana acha mabwege wagongewe tu na waendelee kulea watoto siyo wao. Kwasababu hawasikii na hawajifunzi.
 
Back
Top Bottom