Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Teh teh..Hao nimewaasili mkuuUnamdanganya nani? Hivi haujafikisha 6 kweli!!
Teh teh..Hao nimewaasili mkuuUnamdanganya nani? Hivi haujafikisha 6 kweli!!
Hivi nawe inakuingia akilini kabisaa hiyo kauli hadi uamue kuwa sperm donor???haijalishi kama alikubali au kukataa,ila main poin ni jinsi gani mwanamke anaweza kua kigeugeu kwa kitu alichokitaka mwenyewe
Heaven Sent njoo umsikie baba yako huku.Teh teh..Hao nimewaasili mkuu
Mbona unakua mbishi wakati hivi vitu vipo haijalishi ni mimi au ni yule but hizi mishe zipo,ingia uswahilini utakutana nazoHivi nawe inakuingia akilini kabisaa hiyo kauli hadi uamue kuwa sperm donor???
ahahaaaa ze power of sperm donor inaitwa!Teh teh..Halafu mimba zao ukijaribu kuzichoropoa zinatoka na kizazi..Inabidi uwe mpole tu
hyo ni kuchezea simba sharubu inaitwa achana na sperm donor mzee ukigusa tu unalohahahahhah kwamba gusa unase
Noma sana aisee..Halafu anaenda kujitapa mbele ya watu,flani ana mimba yangu..Wakati hata mia ya matunzo hatoiha
hahaha mkuu unanivunja mbavu,tena anakwambia kabisa kwamba kama sio damu yangu jaribu kutoa,utanitafuta
Mods naomba mumtukunu ban huyu kiumbeHeaven Sent njoo umsikie baba yako huku.
hahahah nomaaaa,hao hata ulale kwenye penyi lazima kitu kitungehyo ni kuchezea simba sharubu inaitwa achana na sperm donor mzee ukigusa tu unalo
alafu ukimzingua sana atakwambia DAMU HUA HAIPOTEINoma sana aisee..Halafu anaenda kujitapa mbele ya watu,flani ana mimba yangu..Wakati hata mia ya matunzo hatoi
umwsema vema kaka,,,, hakuna anaeunga mkono kumuachia watoto mwanamke..... ila kiuhalisia wanaume huwa tunaumizwa sana na hatupendi kupiga makelele ovyo... unakomaa till ukiona hii sasa taabu ....kimya kimya unachukua maamuzi magumu... tena magumu kweli.... na wanawake huwatumia watoto kama ngao na kuwalisha sumu ......mjiangalie na nyie msilaumu wanaume tuuu......kama kichwa cha familia,,,,, unaweza chukua uamuzi bila kujali what next,,, na maisha yakasonga kama kawaida....Pole sister! ila kuna kitu watu huwa hawatambui,wanaume huwa si wepesi wa kuongea yanayowasibu kwenye mahusiano ila wanaume wanateswa sana na wanawake japo siungi mkono tabia ya kukimbia familia ila kuna wanawake pasua kichwa aisee,nina jamaa yangu yeye toka ameoa ana miaka mitatu,mke hata wakizinguana kidogo anasepa kwao miezi 6 mpaka karibia mwaka.sasa saa hizi ana ujauzito huyo mdada baada ya kua akibeba unaaribika,alafu makosa yenyewe yanamtoa hom kwake ni makosa ya kawaida tu,kuna muda jamaa huwa anatamani hata amuache kabisa sasa hali hyo ikiendelea si ipo hatar ya jamaa kutelekeza mke na mtoto? sema wengi huwa mnatumia watoto kama mwavuli,ukisha kua na familia inabidi ujifunze kukaa vizuri na mwenzio kwa ajili ya ustawi wa familia,wanaume sio watu wa ku take action kirahisi ila akichukua hua aangalii side effect ya uamuzi anaochukua.Maudhi yakizidi familia huwa haina uzito sana hasa katika kuchukua uamuzi mgumu
Teh teh hajakusoma eehHeaven Sent njoo umsikie baba yako huku.
ndio maana usije ukamsikiliza mwanamke au upande mmoja tuu katika kusuluhisha,anaweza kuja jamaa hapa akafunguka hadi ukashangaaumwsema vema kaka,,,, hakuna anaeunga mkono kumuachia watoto mwanamke..... ila kiuhalisia wanaume huwa tunaumizwa sana na hatupendi kupiga makelele ovyo... unakomaa till ukiona hii sasa taabu ....kimya kimya unachukua maamuzi magumu... tena magumu kweli.... na wanawake huwatumia watoto kama ngao na kuwalisha sumu ......mjiangalie na nyie msilaumu wanaume tuuu......kama kichwa cha familia,,,,, unaweza chukua uamuzi bila kujali what next,,, na maisha yakasonga kama kawaida....
KARMA IS A BITCH.
Mimi sibishi bali namshangaa huyo anayejiita mwanaume anayekubaliana na kitu kama hicho.Mbona unakua mbishi wakati hivi vitu vipo haijalishi ni mimi au ni yule but hizi mishe zipo,ingia uswahilini utakutana nazo
Kisa cha mie kupigwa ban nini?Mods naomba mumtukunu ban huyu kiumbe
silaha yao kubwa ni midomo yao.......wanaume yetu maamuzi kimya kimya.... na mwisho wa siku suluhu ni ya watu wawili tuuuu.... sijui vikao vya usuluhishi ni umbea tuu...ndio maana usije ukamsikiliza mwanamke au upande mmoja tuu katika kusuluhisha,anaweza kuja jamaa hapa akafunguka hadi ukashangaa