natafuta first eleven kwani ushindani wa namba umekuwa mkubwa so lazima kila mchezaji nimjaribu kuona kiwango chake
ahahahah jamani niulize na hao waganga wapo manake sikuizi kila kona mpaka kwenye maguzo ya umeme unakuta matangazo mganga,anatibu,kumtuliza mume hasharati,kunyanyua nyota,kumvuta mpenzi alokua mbali,kupanda cheo kazini,kurejesha heshima ya ndoa,kumuinamisha mume/mchuchu.. yani matangazo mpaka unacheka..
Candid Scope,mbona matangazo yapo mpaka kwenye gazeti la Sani yani nikisoma nacheka mpaka basi...He! Kuna njia ya kumvuta mpenzi kwa karibu zaidi ya hii ya dot com?
leo tumeachana ndio unasema nina govi wakati umelinyonya sana mbona wewe umekeketwa na sisemi kituOoooiii akulogee nani mwenyewe kapurwaaaa na bado kibamia na haitosh unagovi na kama vilee tena una......
Hakuna tunguli wala kibuyu ni maujuzi tuu...