Wanaume tunarogwa sana na hawa wanawake

Wanaume tunarogwa sana na hawa wanawake

Me Nasemaga Sikuzote Mwanamke Siyo Mtu Mzuri Kabisaa Tena Muuaji
 
ushindani wa namba umekuwa mkubwa sana matokeo yake wakina dada na wakina mama wamemua kutafuta plan B nayo si nyingine ni kutuchawia,tunarogwa sana ,tunalishwa vitu vya ajabu,wateja wakubwa wa waganga ni hawa wanawake unadhani wanafuata nini tunarogwa sana

Aisee, umejuaje kuwa hawa watu ndio wateja wakubwa wa waganga?
 
Tumtegemee mungu kuloga sio issue unaweza kosea ukajiloga mwenyewe
 
Yupo mama mmoja inasemekana alimfanyia mumewe Mandingo ya limbwata ila kwa bahat mbaya mume akawa zezeta tu hawez hata kuzungumza hawez kujisaidia sasa mama (mke) akapata kazi ya kumuangalia mume nyumbani,hii niliishuhudia huko JET LUMO mwanzoni mwa miaka ya 2000
 
Last edited by a moderator:
Uchawi wa mapenzi ni kupenda.Yaani ukitaka kumloga vizuri mkeo/mme, mpe mapenziii ya kumwaga uone kama atasikia la mtu!
 
Mngekuwa mnalogwa sana wengi wenu mngekuwa mmetulia na wake/wapenzi wenu bila mbwembwe za nyumba ndogo na michepuko kila mahali.

Hivyo vitu mnaweza mkawa mnalishwa kweli ila vitakuwa havifanyi kazi,au pengine mmekomaa kiasi kwamba hamlogeki tena. Maana mtu hawezi kuwa na mke aliyemloga bado akamtafutia nyumba ndogo, nyumba ndogo nae amloge na bado akatafuta na mchepuko mwingine.
Hahahh waganga nao ni wajanja ..
Ili biaahara yao iendelee ku boom...
Wana fayizia limbwata na mchepuko mix ..
Hahahahah...
 
ushindani wa namba umekuwa mkubwa sana matokeo yake wakina dada na wakina mama wamemua kutafuta plan B nayo si nyingine ni kutuchawia,tunarogwa sana ,tunalishwa vitu vya ajabu,wateja wakubwa wa waganga ni hawa wanawake unadhani wanafuata nini tunarogwa sana

akuroge nani wewe? stress zako zimezidi unasingizia kurogwa
 
ushindani wa namba umekuwa mkubwa sana matokeo yake wakina dada na wakina mama wamemua kutafuta plan B nayo si nyingine ni kutuchawia,tunarogwa sana ,tunalishwa vitu vya ajabu,wateja wakubwa wa waganga ni hawa wanawake unadhani wanafuata nini tunarogwa sana

Hii nchi imetufanya tumekuwa masikini hata wa akili.

Badala ya kufikiria mambo ya maendeleo bado tuko kwenye kuwaza kulogwa, uchawi na mengi yasiyo na msingi.
 
Hii nchi hatuwezi gundua kitu sababu ya kulogwa. Mtuonee huruma na ukizingatia kanisani hatuendi
 
Wakati mwingine hii siyo sababu ila ni wanawake kutojiamini. Baadhi wamekutwa na mauaji ya waume zao na kutengwa na jamii. Maana hujui chemical contents ya dawa anakupa mganga. sijui kwanini mnaweka imani kwa waganga na kuwapa nguvu wasizositahili. Wengine mnaishia kuingiliwa kimwili na waganga wa kienyeji mkiwa bado mnaamini ndo dawa inavyofanya kazi. kumbe hata hapi nawe ushachepuka, kitu unachopigania kwa mwenzi wako.

Kuna true story baba alikuwa na wake wawili...mke mdogo akapewa dawa ya mapenzi na mganga...kumpa mumewe...mume kafa...
Kumbe mganga alikuwa na ugomvi na mumewe...hivyo akaona atumie hiyo golden chance...

Huyu mama alikuwa kichaa na kuanza kuongea hovyo ndio watu kujua kuuumbe...

Kwa hiyo ukiona unagombewa usifuraie...utalishwa vya kulishwa...
 
Mngekuwa mnalogwa sana wengi wenu mngekuwa mmetulia na wake/wapenzi wenu bila mbwembwe za nyumba ndogo na michepuko kila mahali.

Hivyo vitu mnaweza mkawa mnalishwa kweli ila vitakuwa havifanyi kazi,au pengine mmekomaa kiasi kwamba hamlogeki tena. Maana mtu hawezi kuwa na mke aliyemloga bado akamtafutia nyumba ndogo, nyumba ndogo nae amloge na bado akatafuta na mchepuko mwingine.

Mchepuko unaloga na njia kuu analoga sasa wewe unadhani kidume ataenda upande upi?
 
Shwaini zako! kama wajua una familia yako ulifuata nn huko michepukoni? pambaaaaf!
natafuta first eleven kwani ushindani wa namba umekuwa mkubwa so lazima kila mchezaji nimjaribu kuona kiwango chake
 
Back
Top Bottom