Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Mlogwe tu hadi muwe mazombi!!!
Wanawake karibu wote wanaloga, kuanzia walokole hadi mahouse girls. Ni hatari tupu.
Hapo ndipo ilipo sababu ya kukuloga.........na nitakuloga mpaka ukae sawa..........
Na tutawaloga sana mpaka mshike adabu..........mmezidi.........logaa wote..........
Mngekuwa mnalogwa sana wengi wenu mngekuwa mmetulia na wake/wapenzi wenu bila mbwembwe za nyumba ndogo na michepuko kila mahali.
Hivyo vitu mnaweza mkawa mnalishwa kweli ila vitakuwa havifanyi kazi,au pengine mmekomaa kiasi kwamba hamlogeki tena. Maana mtu hawezi kuwa na mke aliyemloga bado akamtafutia nyumba ndogo, nyumba ndogo nae amloge na bado akatafuta na mchepuko mwingine.
Na tutawaloga sana mpaka mshike adabu..........mmezidi.........logaa wote..........
Wewe usiwe na shaka.......nimekuweka kwenye chungu muda mrefu........huna neno.......relax...........
Kwaiyo na mimi utanifanyia?km unazinguazingua unarogwa tuuu
Kwaiyo na mimi utanifanyia?
ahahahah jamani niulize na hao waganga wapo manake sikuizi kila kona mpaka kwenye maguzo ya umeme unakuta matangazo mganga,anatibu,kumtuliza mume hasharati,kunyanyua nyota,kumvuta mpenzi alokua mbali,kupanda cheo kazini,kurejesha heshima ya ndoa,kumuinamisha mume/mchuchu.. yani matangazo mpaka unacheka..
Haaaa!!Nais itakuwa tayali kwa mtindo huu mamy nishakwisha.kumbe jeee...?