Wanaume tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu

Mkuu umenigusa sana na hii topic yako mbali na yote umeongea point kubwa sana inayogusa uhalisia wa kile kinaochendelea katika maisha. Nilikuwa sina tafsiri halisi ya why hili linatokea ila kupitia haya maandishi yako umeweza ku define vizuri sana.

Popote ulipo agiza bia bill juu yangu😄😄😄
Mbali na ofa yaako mkuu naomba kujua haya nje ya mada..

Jf expwr member wanakusudia nini ?

Ilhali wengine wameandikwa verified member ?
 
Tunaposema ndoa hatuna maana ya lile sherehe na tamko la nimekuoa na nimeolewa.

Ndoa tunamaanisha muunganiko wa kimapenzi baina ya mwanamke na mwanaume na maisha yao kiujumla.

Hilo kila binadamu aliyesalama kiafya anaona umuhimu wake,na hata. Wanaoponda ndoa wanaishi katika mahusiano hayo kwa kudhani ndoa ni ile sherehe tu.

Na mimi nasemea hiyohiyo boss
 
Hayo ni maneno ya watu wenye muono mdogo wa mawwzo.

Huyo mwenye tabia mbovu anakuja kuharibu na watoto wako na kizazi chako kabisa.

Hatari ya mwanamke mwenye tabia mbovu ni kubwa sana kwa sababu huyo ndo atakuja kuwalea watoto wako.

Mwanamke ni kiungo muhimu sana.

Kwa usalama wa matamanio yako ua mwanamke mwenye uzuri uutakao regardless tabia zake hata kama ni mbovu.

Kwa usalama wa watoto wako oa mwanamke mwenye tabia njema kwanza,na vingine baadae utizame.
Ndoa hazinaga formula na usijiandae sana kama unataka kujibu mtihani wa darasani infact mke wa kuoa huwa anakuja from nowhere wala hutafuti kama pesa. Mtu anayehangaika kutafuta mwanamke wa kuoa wengi huishia huchemka......
 
Ndoa hazinaga formula na usijiandae sana kama unataka kujibu mtihani wa darasani infact mke wa kuoa huwa anakuja from nowhere wala hutafuti kama pesa. Mtu anayehangaika kutafuta mke wa kuoa wengi hiishia huchemka......

Wengi tunawapata alafu ndo tunatafuta.

Ila wengine wanatafuta alafu ndo wanawapata.
 
Mbali na ofa yaako mkuu naomba kujua haya nje ya mada..

Jf expwr member wanakusudia nini ?

Ilhali wengine wameandikwa verified member ?
Sijajua faida anayopata mtu kuwa verified member zaidi ya kuwa taarifa zako halisi zinakuwa exposed.
 
Ndoa hazinaga formula na usijiandae sana kama unataka kujibu mtihani wa darasani infact mke wa kuoa huwa anakuja from nowhere wala hutafuti kama pesa. Mtu anayehangaika kutafuta mwanamke wa kuoa wengi huishia huchemka......

Hakuna kitu from no where.
 
Kuna wanawake wa starehe na kuna wanawake wa kuoa. Ukikosea, utakua mtu wakudhalilishwa na tabia za huyo unayemwita mke, mfano unakuta umemuoa mtu lakini anagongwa na kila mwanaume bila staha, aibu na fedheha lazima itakupata wewe muoaji, au umeoa mke mlevi kupindukia, aibu lazima itakuangukia wewe muoaji, na madhara yatakuwepo kwa familia kwa ujumla. Ukioa mke asiyekua na tabia njema,utahurumiwa sana. Tambua mwanamke wa kuoa na mwanamke wa starehe.
 
Kuna wanawake wa starehe na kuna wanawake wa kuoa. Ukikosea, utakua mtu wakudhalilishwa na tabia za huyo unayemwita mke, mfano unakuta umemuoa mtu lakini anagongwa na kila mwanaume bila staha, aibu na fedheha lazima itakupata wewe muoaji, au umeoa mke mlevi kupindukia, aibu lazima itakuangukia wewe muoaji, na madhara yatakuwepo kwa familia kwa ujumla. Ukioa mke asiyekua na tabia njema,utahurumiwa sana. Tambua mwanamke wa kuoa na mwanamke wa starehe.

Umeelewa umefupisha maelezo yako clear kabisa.

Huyu wa starehe atastarehesha nafsi lakininsasa kunabwatoto na jamii,watoto wako wataharbika kwa ubovu watabia ya mwanamke,na jamii haitakuheshimu.

Ni bora wake zetu wabadilike watufurahishe zaidi huko ndani na huku sisi tukizidi kupambana kutafuta pesa.
 
Mkuu umenigusa sana na hii topic yako mbali na yote umeongea point kubwa sana inayogusa uhalisia wa kile kinaochendelea katika maisha. Nilikuwa sina tafsiri halisi ya why hili linatokea ila kupitia haya maandishi yako umeweza ku define vizuri sana.

Popote ulipo agiza bia bill juu yangu😄😄😄

Ile mida ya ftari inakaribia
 
Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa.

Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda.

Wakati mwingine huwa nasema kuwa ...

"Kwa mwanamke kuolewa ni bahati,na kwa mwanaume kuoa mwanamke mwenye vigezo vya uzuri unavyovitaka ni bahati pia"

Wanawake wengi wamebahatika kuolewa,na wanaume wachache wamebahatika kuwapata wanawake ambao sifa zao za uzuti ndio zile walizozitaka mwanzo.ila wengi hawajabahatika na hilo.

Hii ni kwa sababu kubwa ya kuwa "tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa,na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu"

Kwa maana ukikutana na mwanamke mzuri,mwenye umbo uzi kubwa mbantu wa nguvu,kavaa sketi ya mpira,mapaja nje,mapozi kedekede,kikuku mguuni,mdomo una rangi nyekundu,kitovu kipo nje nje,matiti yamefichwa chuchu tu.

Huyu ataipeleka hisia ya mwanaume kwenye ngono kabisa kwa sababu wanaume wengi maradhi yetu ni kuona.

Manamke wa aina hii hawezi kumpeleka mwanaume kwenye hisia za ndoa kwa sababu maumbile yake na alivyo yanavutia katika hisia za kingono,wanaume tunavuta namna ile ile ya vile vinavyotuvutia.

Ndio maana wale madada poa wanaojiuza pale barabarani utawakuta wamevaa mfano wa nilivyotaja sio kwamba watuvutie kindoa,bali watuvutie kingono na matamanio.

Wanaume wengi hujishangaa kwa nini kabla ya kuoa alitamani kuwa na mwanamke mwenye tako kubwa,mzuri mrembo, mrefu mweupe ila anajikuta kaoa mwanamke mwenye sifa moja tu labda ni mweupe basi ila kalio nothing,uzuri nothing.

Sababu ni kuwa wanaume wenyewe kama hatujazisoma akili zetu hivi tunakuja kushtuka baada ya kuoa na kukaa na wake zetu kuwa ohoo kumbe vile vigezo nilivyovitaka havikuwa vigezo vya kunivutia katika Ndoa,bali vilikuwa vigezo vya kunivutia katika Ngono.

Wanaume wengi wanaoa wanawake wazuri baada ya Ndoa zao za kwanza kwa sababu wanakuwa wameshajifunza na kujua kuwa kuna kosa walilifanya kwenye Ndoa zao za kwanza.

kumbe kwenye ndoa ya kwanza ndo walikuwa sahihi na kwenye ndoa ya pili ndo wanakosea zaidi hasa kwa kutanguliza vigezo vya ngono kwenye ndoa jambo ambalo linafanya Ndoa ya pili ya wanaume wengi kuwakumbuka wanawake katika Ndoa ya kwwnza kwa sababu wale wa kwanza ndio walivitia kindoa na hawa wa pili wanavutia kingono tu.

Wanawake bado hawajajua siri hii ndio maana wanajikuta waume zao wanatoka nje ya ndoa wakati wao wapo wanashindwa kuelewa kuwa kuolewa kwako haina maana kuwa unashawishi kingono.

kuna uwezekano mkubwa sana kingono haushawishi kivile ila tu mwenendo wako ndio umekubeba mpaka ukawa kwwnye ndoa uliyonayo.

Ndio maana wanaume wengi wanaheshimu ndoa zao lakini bado wanamichepuko ya maana kuliko wake zao ya kuburudika nao faraghani huko ila bado wanawapenda wake zao.why ?

Kwa sababu mchepuko anavutia kingono,na mkewe anavutia kindoa na mbaya zaidi wanaume anahitaji aina zote hizo za vivutio ili nafsi yake ipate utulivu wa sawasawa.

Mwanaume anapokutana na mwanamke mpole,mwenye akili,anaejali watu mstaarabu,anaechunga nini aseme nini asiseme,mwanamke asieomba pesa,mwanamke anaeshika dini husika ya mwanaume,mawnamke ambae ana mawazo mazuri sio mgomvi na hajishushi kuzungumzia mambo ya ngono kwa mwanaume,wanawake wa aina hii mwanaume akikutana nao anawaza na kuvutika kuwa huyu sasa ndio mke wa kuoa na kuishi nae na kuyajenga maisha.

Ila hiyo haina maana kuwa akimuoa manamke huyu eti mvuto wa kingono atakuwa ameupotezea hapana,bado mwanaume ataendelea kuvutwa na mvuto wa kingono na mwanamke yeyote yule atakayekuwa.

ndio maana wanawake wanatakiwa kujitahidi kuwavutia waume zao kingono kwa sababu ya kuwa wengi wapo wapo kwenye ndoa kwa kigezo tofauti na hicho.

Wanawake tambueni hili

Musijione mpo kwenye ndoa mkajisahau mkadhani pengine wanaume wenu wanavutika sana kingono na nyie hapana,wengi mupo hapo kwa sababu ya heshima na adabu zenu na ustaarabu ila sio mvuto wa kingono mliokuwa nao,fanyeni jitihada muwateke waume zenu.

Mwanamke kuolewa ni bahatai,na mwanaume kuoa mwanamke anaemvutia kingono na kumvutia kindoa pia ni bahati"
Ni kweli aisee. Sio rahisi kumpata anavutia kimgegedo na akavutia pia kindoa. Ila wapo waliobahatika.
 
Hayo ni maneno ya watu wenye muono mdogo wa mawwzo.

Huyo mwenye tabia mbovu anakuja kuharibu na watoto wako na kizazi chako kabisa.

Hatari ya mwanamke mwenye tabia mbovu ni kubwa sana kwa sababu huyo ndo atakuja kuwalea watoto wako.

Mwanamke ni kiungo muhimu sana.

Kwa usalama wa matamanio yako ua mwanamke mwenye uzuri uutakao regardless tabia zake hata kama ni mbovu.

Kwa usalama wa watoto wako oa mwanamke mwenye tabia njema kwanza,na vingine baadae utizame.
Hawa wanaosema oa mwanamke wa ndoto yaoo tabia watanyoshana kwanza hawajaoa. Na hata wakioa kila siku nyuzi za vilio humu ndani.

Matamanio ni mengi huwezi kuyatimiliza na kamwe huwezi kuishi unayotaka bali utaishi unavyotakiwa kuishi.

Hili la timiza au ishi na mpenzi umtakaye limeleta tatizo kubwa kwa wanawake hasa. Pale anapotaka ampate handsome na mwenye pesa. Ni ama analeta matatizo kwa wanaume wanaomtaka wanaoishia kulalamika ooh mwanamke anapenda pesa? Au atampta mwenye pesa lakini nyuzi za malalamiko humu hazitaisha.
 
Ndoa hazinaga formula na usijiandae sana kama unataka kujibu mtihani wa darasani infact mke wa kuoa huwa anakuja from nowhere wala hutafuti kama pesa. Mtu anayehangaika kutafuta mwanamke wa kuoa wengi huishia huchemka......
Kweli aisee kuna jamaa yangu aliweka vigezo mpaka leo nadhani hajaoa. Alipigwa vibuti weee mpaka akawachukia wanawake. Kwanza mambo ya kuchagua chagua unakuwa kama hujui unataka nini kutola kwa mwanamke. Its simple and straight wanaume tunataka mgegedo, heshima na familia. Hivi vitu kila mwanamke anavyo.

Hata umuoe malaika atoke mbingu ya saba. Mwezi mmoja tu wa honeymoon unagegeda mpaka.unachoma baada ya hapo huna hamu tena. Unakuja kugundua kumbe hukuwa na haja ya kutumia pesa na rasilimali nyingi ya muda kumtafuta huyo.

Unaanza kuona sasa ni maisha hasa yaliyo.muhimu kuliko huo uzuri wake. Mnalala pamoja anajmba harufu kali. Anakwenda kunya unasikia misusi yake akiwa chooni. Akiamka asubuhi hajapiga mswaki mdomo unanuka. Ulizoea mnakutana ananukia tu. Hali inabadilika. Usipokuwa na uvumilivu baada ya honeymoon unaweza kuona upendo unapungua. Na wengi ndoa huanza kwenda mlama. Tatizo sio mwanamke tatizo ni wewe unataka nini kwa mwanamke
 
Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa.

Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda.

Wakati mwingine huwa nasema kuwa ...

"Kwa mwanamke kuolewa ni bahati,na kwa mwanaume kuoa mwanamke mwenye vigezo vya uzuri unavyovitaka ni bahati pia"

Wanawake wengi wamebahatika kuolewa,na wanaume wachache wamebahatika kuwapata wanawake ambao sifa zao za uzuti ndio zile walizozitaka mwanzo.ila wengi hawajabahatika na hilo.

Hii ni kwa sababu kubwa ya kuwa "tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa,na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu"

Kwa maana ukikutana na mwanamke mzuri,mwenye umbo uzi kubwa mbantu wa nguvu,kavaa sketi ya mpira,mapaja nje,mapozi kedekede,kikuku mguuni,mdomo una rangi nyekundu,kitovu kipo nje nje,matiti yamefichwa chuchu tu.

Huyu ataipeleka hisia ya mwanaume kwenye ngono kabisa kwa sababu wanaume wengi maradhi yetu ni kuona.

Manamke wa aina hii hawezi kumpeleka mwanaume kwenye hisia za ndoa kwa sababu maumbile yake na alivyo yanavutia katika hisia za kingono,wanaume tunavuta namna ile ile ya vile vinavyotuvutia.

Ndio maana wale madada poa wanaojiuza pale barabarani utawakuta wamevaa mfano wa nilivyotaja sio kwamba watuvutie kindoa,bali watuvutie kingono na matamanio.

Wanaume wengi hujishangaa kwa nini kabla ya kuoa alitamani kuwa na mwanamke mwenye tako kubwa,mzuri mrembo, mrefu mweupe ila anajikuta kaoa mwanamke mwenye sifa moja tu labda ni mweupe basi ila kalio nothing,uzuri nothing.

Sababu ni kuwa wanaume wenyewe kama hatujazisoma akili zetu hivi tunakuja kushtuka baada ya kuoa na kukaa na wake zetu kuwa ohoo kumbe vile vigezo nilivyovitaka havikuwa vigezo vya kunivutia katika Ndoa,bali vilikuwa vigezo vya kunivutia katika Ngono.

Wanaume wengi wanaoa wanawake wazuri baada ya Ndoa zao za kwanza kwa sababu wanakuwa wameshajifunza na kujua kuwa kuna kosa walilifanya kwenye Ndoa zao za kwanza.

kumbe kwenye ndoa ya kwanza ndo walikuwa sahihi na kwenye ndoa ya pili ndo wanakosea zaidi hasa kwa kutanguliza vigezo vya ngono kwenye ndoa jambo ambalo linafanya Ndoa ya pili ya wanaume wengi kuwakumbuka wanawake katika Ndoa ya kwwnza kwa sababu wale wa kwanza ndio walivitia kindoa na hawa wa pili wanavutia kingono tu.

Wanawake bado hawajajua siri hii ndio maana wanajikuta waume zao wanatoka nje ya ndoa wakati wao wapo wanashindwa kuelewa kuwa kuolewa kwako haina maana kuwa unashawishi kingono.

kuna uwezekano mkubwa sana kingono haushawishi kivile ila tu mwenendo wako ndio umekubeba mpaka ukawa kwwnye ndoa uliyonayo.

Ndio maana wanaume wengi wanaheshimu ndoa zao lakini bado wanamichepuko ya maana kuliko wake zao ya kuburudika nao faraghani huko ila bado wanawapenda wake zao.why ?

Kwa sababu mchepuko anavutia kingono,na mkewe anavutia kindoa na mbaya zaidi wanaume anahitaji aina zote hizo za vivutio ili nafsi yake ipate utulivu wa sawasawa.

Mwanaume anapokutana na mwanamke mpole,mwenye akili,anaejali watu mstaarabu,anaechunga nini aseme nini asiseme,mwanamke asieomba pesa,mwanamke anaeshika dini husika ya mwanaume,mawnamke ambae ana mawazo mazuri sio mgomvi na hajishushi kuzungumzia mambo ya ngono kwa mwanaume,wanawake wa aina hii mwanaume akikutana nao anawaza na kuvutika kuwa huyu sasa ndio mke wa kuoa na kuishi nae na kuyajenga maisha.

Ila hiyo haina maana kuwa akimuoa manamke huyu eti mvuto wa kingono atakuwa ameupotezea hapana,bado mwanaume ataendelea kuvutwa na mvuto wa kingono na mwanamke yeyote yule atakayekuwa.

ndio maana wanawake wanatakiwa kujitahidi kuwavutia waume zao kingono kwa sababu ya kuwa wengi wapo wapo kwenye ndoa kwa kigezo tofauti na hicho.

Wanawake tambueni hili

Musijione mpo kwenye ndoa mkajisahau mkadhani pengine wanaume wenu wanavutika sana kingono na nyie hapana,wengi mupo hapo kwa sababu ya heshima na adabu zenu na ustaarabu ila sio mvuto wa kingono mliokuwa nao,fanyeni jitihada muwateke waume zenu.

Mwanamke kuolewa ni bahatai,na mwanaume kuoa mwanamke anaemvutia kingono na kumvutia kindoa pia ni bahati"
Dogo ndoa ni mchakato, usidhani unakutana na binti hapohapo unamuona anafaa kuoa utapotea wengine ni waigizaji wazuri sana, hadi uwe nae kwenye mahusiano kwa muda hata wa mwaka 1 au 2 ndo umjue vizuri
 
Dogo ndoa ni mchakato, usidhani unakutana na binti hapohapo unamuona anafaa kuoa utapotea wengine ni waigizaji wazuri sana, hadi uwe nae kwenye mahusiano kwa muda hata wa mwaka 1 au 2 ndo umjue vizuri
Yani unaniita mimi dogo kweli ?

Okey tiacane na hilo.

Ukiona mwanamke anakuigizia ujue umeshafeli kwa sababu tayari ameshajua unataka nini kwake hivyo anaigiza kwako ili uone yupo vile anavyotaka.

Mwanamke asiyejua unachotaka hawezi kukuigizia kwa sababu atakuchukulia kama watu wengine tu wa kawaida.

K
 
Yani unaniita mimi dogo kweli ?

Okey tiacane na hilo.

Ukiona mwanamke anakuigizia ujue umeshafeli kwa sababu tayari ameshajua unataka nini kwake hivyo anaigiza kwako ili uone yupo vile anavyotaka.

Mwanamke asiyejua unachotaka hawezi kukuigizia kwa sababu atakuchukulia kama watu wengine tu wa kawaida.

K
Nimekuita dogo kwasababu namna unavyochulia kuoa unadhani jambo dogo la kumuona binti Leo kesho au baada ya WK ukatangaza ndoa,
Nakuambia kabisa akili ya mwanamke ione tu, hafu mwanamke usiye mfahamu ambaye hata huna mtu/ ndugu yako anayemfahamu hata kama anatabia zinazokuvuatia kuwa makini sana, haswa kama anakuja kwako akiona maisha unayoishi anauwezo wa kukuinfluence ukajikuta umemuoa kumbe hana tabia za kuwa mke.
 
Back
Top Bottom