Udhaifu kwa wanaume na wanawake hauondoi umuhimu wa ndoa

fimboyaasali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
8,415
7,968
Ni kweli kuna baadhi ya wanaume na wanawake wana udhaifu ambao pengine hufanya ndoa kuwa na changamoto nyingi, lakini changamoto hizo haziondoi umuhimu wa ndoa.

Ndoa ni chimbuko la maendeleo ya famili na ndio tofali la kwanza katika ujenzi wa nchi. Wewe dada na wewe kaka ambao hujaoa au kuolewa, leo weka nia ya kutafuta mtu. Ukishindwa kutana na watu wanaosaidia watu kuoana wapo wengi hapo ulipo.
 
Ni kweli kuna baadhi ya wanaume na wanawake wana udhaifu,ambao pengine hufanya ndoa kuwa na changamoto nyingi,lakini changamoto hizo haziondoi umuhimu wa ndoa.

Ndoa ni chimbuko la maendeleo ya famili na ndio tofali la kwanza katika ujenzi wa nchi. Wewe dada na wewe kaka ambao hujaoa au kuolewa,leo weka nia ya kutafuta mtu. Ukishindwa kutana na watu wanaosaidia watu kuoana wapo wengi hapo ulipo.
Joined 2011 lakini umeandika takataka siyo takataka, pumba siyo pumba 😬
 
Hamna mistake mbaya sana kama kulithainisha tendo la ndoa na fedha, hongo, vitu vya thamani nk.Hapa ndipo ndoa inapotezaga thamani na ndio dunia tuliyopo,ngono imekuwa kitu chepesi sana kukipata.
 
Mkuu kwani akili ya mtu hua inakua nzuri au inapimwa kutokana na muda aliokaa humu JF?
Vipi kuhusu ambao sio member na wala hawaijui JF ?
Jibu ni hapana lakini huwa naamini katika experience mkuu, mtu anyesoma mijadala ya humu jf na anayesoma mijadala ya Facebook au instagram kwa zaidi ya miaka 5 au 10.

Obviously huyu wa humu jf atagain mengi zaidi ikiwemo uwezo wa kujenga hoja tofauti na huyo mwingine.
 
Nikienda mbinguni nikiulizwa kosa kubwa duniani unalojutia ni siku niliyo chakata kwa mara ya kwanza naijutia sana
 
Back
Top Bottom