Yaping Xi Laan
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,261
- 2,480
Tupo uwanjan saiv na astonvilla,kipindi cha kwanza tayari 0-0.Ila miamba hawa tupo sare kwa point 51,City 61 na arsenal 71. Naomba mungu tutoke hata moja 1-0 ilitusalie top 3,ila man-u n team kubwa tuna matumain