Wanaume tukutane hapa tumshauri Captain Gardner

Wanaume tukutane hapa tumshauri Captain Gardner

IFRS
Gadna ulikosea sana kumwacha mkeo wa kwanza. Jide sio wife material, hata ukimsikiliza, ukimwangalia kwenye kipindi chake hasa alipokuwa na wewe, alikuwa anakudhalilisha tu, yule sio mwanamke wa kuolewa, yule ni kama mwanaume mwenzio.

Sisi wenzio wenye wake tulikuwa tunakaa na wake zetu halafu tunakuchora tu kwenye Luninga, hawa wanawake walikuwa wanaquestion sana kwamba hivi kweli mke kama huyu anayeonekana ni fahari, mafahari wawili wanaweza kuishi zizi moja na alikuwa anakudhalilisha ukionekana kama wewe unalelewa.

Bora umeondoka pamoja na kwamba umefanya mchango mkubwa sana kwake kama akikusahau atalaaniwa kabisa kwasababu umemfikisha pale alipofika na ulikuwa na yeye katika shida zake zote.

Hata kwenye bifu lake na Ruge, pamoja na kwamba kila mtanzania anajua Jide alilalaga na Ruge chumba kimoja South Africa, bado ulivumilia ukawa upande wake. ulikosea, lakini kwasababu kosa lilishatokea basi fanya ya mbeleni na utafanikiwa.

Mbona watu wanakupenda wewe kuliko yeye? fans wote Tanzania wanakupenda wewe kuliko Jd achana naye, aende zake na nakuhakikishia hatafika mbali, labda kama atarudi kwako kwa magoti mimi mwanamke kama yule siwezi kuishi naye hata mwaka mmoja.
 
Last edited by a moderator:
Nyani Ngabu
mkuu nimeanza kufatilia comment zako tokea uzi uliopita inaonekana upo neutral kinafiki wakat ukweli uko upande wa Gadner.
 
Last edited by a moderator:
Huyo gadna hajui tu hamna kitu kinamuumiza mtu kama anakuzungumzia halafu humjibu uko kimya. Anyamaze aachane na maneno kwani si wameachana tayari.kila mtu afanye shughuli zake.
 
Gadna ni chupi mkononiii,nampongeza jide kwa hiloo,sasa hivi ni kusepa kimya kimyaa tu mshatuchosha teh.....
 
Gadna ni chupi mkononiii,nampongeza jide kwa hiloooo
 
komeka
Kusema nipo "neutral kinafiki wakat ukweli uko upande wa gadner" bila kuonyesha ni kivipi hasa niko upande wa Gardner ni unafiki maradufu ya huo unafiki unaosadiki ninao.Nionyeshe ni kivipi nipo upande wa Gardner ilhali hata simjui yeye na sijui kilichokuwa kinaendelea kwenye ndoa yao.
 
Last edited by a moderator:
Hata kukaa kimya G ni hekima.......hakuna Faida ya kulumbana na mkosaji.....anatapatapa usihofu na maneno yake...cku si nyingi utaona anakuja kivingine.......uchine broo...
 
Gardner hana lolote hapo anazuga tu ili aonekane na yeye kuna vitu alikua anavumilia kwa Jide kumbe hakuna lolote. From the story Jide kaeleza ya moyoni na ni ya ukwel inaonekana.

Sawa Jide sio malaika but seemz mistakes zake ni za kawaida compared na za mshkaji ndio maana amebaki kuuuliza eti aseme au anyamaze kifupi mshkaji ni player sana
 
Ukiua kwa upanga,utakufa kwa upanga.alipomtema mke wake akajua kamaliza anyway tuwaachie maisha yao
 
Gardner amdharau tu Jide.Jide ni mtu wa visasi na maneno maneno.
 
Back
Top Bottom