Wanaume, simu zenu zina nini?

Wanaume, simu zenu zina nini?

And here goes my campaign manager. No wonder I miss you sometimes hehehe.

Natumai uko poa bestie
Huyu mwamba ukikutana naye kwenye foleni ya ATM kakaa mbele yako, muombe tu akuruhusu uanze wewe, akianza yeye anamaliza hela zote kwenye ATM halafu akaunti yake ndiyo kwanza inapiga jalamba hata mchezo haijaanza.

Siku moja alienda kufanya transaction benki mpaka meneja wa benki aliomba msamaha kwa sababu alikuwa anaweka hela ina tarakimu nyingi sana mpaka zile karatasi za benki zikawa zimefika mwisho kwenye ledger line lakini hela ya mchizi haijaisha kuandikwa.

Ikabidi wamtengenezee karatasi zake mpya za peke yake.
 
tatizo nikuifatilia simu yake na anaona akiiahika unaumia! achana nayo usiishike asilani hata ikiita imeandikwa mama kijijin usipokee mbane tu atimize majukumu yake kama mume basi
 
Haina haja yakuumiza kichwa,ukiona anakupotezea nawe mpotezee ivyo iyo..maisha yenyewe mafupi haya yanini kutiana presha

if you can't change him join him nawe Anza kua bize na kuchat.
 
Wanajamvi natumai siku yenu imeisha salama salimini,hivi inakuwaje mwanaume una mke,ila kucha kutwa uko bzy tu bado, jamani mnatafuta nini huko au kuna la ziada,? Mwanaume anakula na sim mkononi ni ku chart tu na wanawake mnaandikiana sms za ngono tu, mwanaume una lala sa sita kisa bado!!!mh!!! Siamini kama ni wote mtakuwa na hiyo tabia,ila nitafsireni mwanaume wa hivi ana maana gani?mnapaka kufanya kazi fulan mwenzako anaingia ndani udhani labda kaenda kujisaidia anachelewa unaamua kumfuta una kuta yuko bz na sm bado!!!!! Sim hizi!!
ulidhani mechi ya kirafiki kumbe
 
And here goes my campaign manager. No wonder I miss you sometimes hehehe.

Natumai uko poa bestie

Best niko poa bila doa ukweli natoboa kosoa
Sijashoboa Dar, mkoa, hata kohoa, nini kuita goa
Changudoa wachojoa, kusaka kukojoa Noah
Mi naboa, kazi kutoa ndoa Lusaka ka "Love in Goa", wenyewe wataloa
Wapambe noa, Magufuli kawazoa kwa tingatinga la Singasinga
Sitaki ujinga, Mbeya Mbinga,Iringa, shamba nishakinga
Huku nabembelezwa kwa kuimba ka kitinda mimba
Ingawa kiukweli jemedari, wa awali first born, kikosi cha mizinga
First born kaka mkubwa, sometimes poa sometimes mkoloni
Sometimes tupatupa, sometimes noma ka kolokoloni
Picha bafu barafu wanauliza "Hili duka la Cologne?"
Wataka biashara chafu tafu ka Mchaga wa Kiborloni
Nachapa project, navuna mishahara
Natafuta jet, commercial wanahara
Dar mjini nakuja kausha ATM
Mpaka majini makini waseme "huyu mtoze kodi ya CCM"
Nashika elimu silaha, ka picha ya Bisimini
Wanakosa raha kwa ticha wa kula yamini
Natua popote kama helikopta ya jeshi
Nakomba Mayotte, si kukopa, mali cash
Najenga hoteli kikweli kama Membe
Kisha ua bendi ka Jongo na Mpeli chini ya mwembe
Watoto shobo kinembe, sembe wembe na tembe
Huku tushawapa tobo trekta na jembe
Naunganisha ghaibu na masahibu ka daraja la Nyerere
Huku naharibu ngebe na ndogondogo kelele
Perege na nyangumi, wapi na wapi
Nawapiga ngumi, tenga nafaka na kapi
Kwetu Mchafukoge tangu kabla ya Maji Maji
Mpaka leo wagawana tonge Dewji na Manji...

Shall I Continue...?
 
Ndo kazi ya simu uitendee haki, na hizo applications lazima tuzitendee haki... Ukiwa mwanaume raaaaha...
 
Akiwa busy na simu nawewe chukua simu yako kaa pembeni yake, mlalie kwenye mapaja na wewe endelea kuchati. Yaani unaenda chumbani unamwacha mumeo sebleni??
 
Hahaha ungeacha bhange, manake zimeanza kukukataa. Yaani nimecheka kama vile nimepata 13th month salary lmfao!

Ishia hapo Kaka, imetosha!
Best niko poa bila doa ukweli natoboa kosoa
Sijashoboa Dar, mkoa, hata kohoa, nini kuita goa
Changudoa wachojoa, kusaka kukojoa Noah
Mi naboa, kazi kutoa ndoa Lusaka ka "Love in Goa", wenyewe wataloa
Wapambe noa, Magufuli kawazoa kwa tingatinga
Sitaki ujinga, Mbeya Mbinga,Iringa, shamba nishakinga
Huku nabembelezwa kwa kuimba ka kitinda mimba
Ingawa kiukweli jemedari, wa awali first born, kikosi cha mizinga
First born kaka mkubwa, sometimes poa sometimes mkoloni
Sometimes tupatupa, sometimes noma ka kolokoloni
Picha bafu barafu wanauliza "Hili duka la Cologne?"
Wataka biashara chafu tafu ka Mchaga wa Kiborloni
Nachapa project, navuna mishahara
Natafuta jet, commercial wanahara
Dar mjini nakuja kausha ATM
Mpaka majini makini waseme "huyu mtoze kodi ya CCM"
Nashika elimu silaha, ka picha ya Bisimini
Wanakosa raha kwa ticha wa kula yamini
Natua popote kama helikopta ya jeshi
Nakomba Mayotte, si kukopa, mali cash
Najenga hoteli kikweli kama Membe
Kisha ua bendi ka Jongo na Mpeli chini ya mwembe
Watoto shobo kinembe, sembe wembe na tembe
Huku tushawapa tobo trekta na jembe
Naunganisha ghaibu na masahibu ka daraja la Nyerere
Huku naharibu ngebe na ndogondogo kelele
Perege na nyangumi, wapi na wapi
Nawapiga ngumi, tenga nafaka na kapi
Kwetu Mchafukoge tangu kabla ya Maji Maji
Mpaka leo wagawana tonge Dewji na Manji...

Shall I Continue...?
 
Ttcl waliwahi kuleta yellow pages kama sikosei ikiwa inasema vidole vinaongea.
 
Best niko poa bila doa ukweli natoboa kosoa
Sijashoboa Dar, mkoa, hata kohoa, nini kuita goa
Changudoa wachojoa, kusaka kukojoa Noah
Mi naboa, kazi kutoa ndoa Lusaka ka "Love in Goa", wenyewe wataloa
Wapambe noa, Magufuli kawazoa kwa tingatinga la Singasinga
Sitaki ujinga, Mbeya Mbinga,Iringa, shamba nishakinga
Huku nabembelezwa kwa kuimba ka kitinda mimba
Ingawa kiukweli jemedari, wa awali first born, kikosi cha mizinga
First born kaka mkubwa, sometimes poa sometimes mkoloni
Sometimes tupatupa, sometimes noma ka kolokoloni
Picha bafu barafu wanauliza "Hili duka la Cologne?"
Wataka biashara chafu tafu ka Mchaga wa Kiborloni
Nachapa project, navuna mishahara
Natafuta jet, commercial wanahara
Dar mjini nakuja kausha ATM
Mpaka majini makini waseme "huyu mtoze kodi ya CCM"
Nashika elimu silaha, ka picha ya Bisimini
Wanakosa raha kwa ticha wa kula yamini
Natua popote kama helikopta ya jeshi
Nakomba Mayotte, si kukopa, mali cash
Najenga hoteli kikweli kama Membe
Kisha ua bendi ka Jongo na Mpeli chini ya mwembe
Watoto shobo kinembe, sembe wembe na tembe
Huku tushawapa tobo trekta na jembe
Naunganisha ghaibu na masahibu ka daraja la Nyerere
Huku naharibu ngebe na ndogondogo kelele
Perege na nyangumi, wapi na wapi
Nawapiga ngumi, tenga nafaka na kapi
Kwetu Mchafukoge tangu kabla ya Maji Maji
Mpaka leo wagawana tonge Dewji na Manji...

Shall I Continue...?
Baba we,kwahiyo sie wachaga wa kiborlon tunataka biashara chafu?

Leo nitakunyima wallah
 
Nikiambiwa nichague kumuachia simu yangu mke wangu kwa muda wa masaa manne au kukaa jela siku nzima nzima nachagua kukaa jela.
 
mie nshajizoelea, siku hizi nna vitabu kibao hapa namalizia Hidden truth, najisomea mpaka usingizi unanipitia.
ukianza kuumiza kichwa huyu anafanya hivi mara vile utajikuta umestuck.
you stop your life waiting for him to change.
find something to replace him.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom