Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Unakusudia kurudi nyumbani labdahawa dawa yao ni kuanza kuwa bize kama wao..yni bize na smu 24 hrs...mpaka kieleweke. usiumize kchwa kbisa.![]()
Unakusudia kurudi nyumbani labdahawa dawa yao ni kuanza kuwa bize kama wao..yni bize na smu 24 hrs...mpaka kieleweke. usiumize kchwa kbisa.![]()
Kwanini utoe talaka kwa mkeo kipenzi bol jela mwana wane wewe hujui ladha ya ndoaDuh!
Kujitesa kote huko kisa nini?
Wa adilifu wako peponiNdoa inalindwa kwa uadilifu, uwazi, ukweli, na upendo wa kweli. Hailindwi kwa kuyaficha yaliyo machafu.
Sababu sitaki maswali ndo kuheshimu kwenyewe huko wee waonaje?Na kwanini uzime sim??
Utamkubali zaidi utakapo ona post yake aliosema ku oa kwake labda huyo mwanamke amuumbe mwenyeweLeo nakukubali hasa Nyani Ngabu......
sio mbayaUnakusudia kurudi nyumbani labda
Muhimu ujue wewe ndo kilakituUmalaya uko wa aina nyingi sio lazima uwe physically hata wa kwenye mtandao ni umalaya na usaliti vilevile....Ukiona mwanaume wako hakuachi huru na simu yake ujue kawapanga wengi na ndio maana hata kitandani anakuja saa sita coz he has alot of women to be pleasing....Just speaking my mind.....
Ndoa tam lakini hivyo ni vijimambo tu vya mudasio mbaya
Acha uchochezi kwa sababu huo utafiti wako sijui unawalenga wanaume au wavulana. Kwa sababu kwa maelezo yako wewe unazungumzia wavulana. Hivyo ni vema ukarudi tena kazini ili kujenga hoja yenye mashiko na pia kwa pamoko tuweze kuweka mkakati kabambe wa kushughulikia upungufu huo.Wanajamvi natumai siku yenu imeisha salama salimini,
Hivi inakuwaje mwanaume una mke, ila kucha kutwa uko bzy tu bado, jamani mnatafuta nini huko au kuna la ziada? Mwanaume anakula na sim mkononi ni ku chart tu na wanawake mnaandikiana sms za ngono tu, mwanaume una lala sa sita kisa bado!!!mh!!!
Siamini kama ni wote mtakuwa na hiyo tabia, ila nitafsireni mwanaume wa hivi ana maana gani? Mnapanga kufanya kazi fulan mwenzako anaingia ndani unadhani labda kaenda kujisaidia anachelewa unaamua kumfuta una kuta yuko bz na sm bado!!!!! Sim hizi!!
Pili piliWanajamvi natumai siku yenu imeisha salama salimini,
Hivi inakuwaje mwanaume una mke, ila kucha kutwa uko bzy tu bado, jamani mnatafuta nini huko au kuna la ziada? Mwanaume anakula na sim mkononi ni ku chart tu na wanawake mnaandikiana sms za ngono tu, mwanaume una lala sa sita kisa bado!!!mh!!!
Siamini kama ni wote mtakuwa na hiyo tabia, ila nitafsireni mwanaume wa hivi ana maana gani? Mnapanga kufanya kazi fulan mwenzako anaingia ndani unadhani labda kaenda kujisaidia anachelewa unaamua kumfuta una kuta yuko bz na sm bado!!!!! Sim hizi!!