Wanaume, simu zenu zina nini?

Wanaume, simu zenu zina nini?

Mnasemeswa hata kujibu mnashindwa kisa bado!!!! Jamni ukitaka udumu kwenye ndoa yako kwa amani na upendo acha ku chart kwenye hii mitandao, mana mnafanya sim kama wake zenu,mkeo yuko kitandani saa tatu we kwenye kochi mpaka saa sita.mh!!!

Safi sana.

Na hayo mawaidha ni kwa wote, mke na mume.
 
Mnasemeswa hata kujibu mnashindwa kisa bado!!!! Jamni ukitaka udumu kwenye ndoa yako kwa amani na upendo acha ku chart kwenye hii mitandao, mana mnafanya sim kama wake zenu,mkeo yuko kitandani saa tatu we kwenye kochi mpaka saa sita.mh!!!
Sasa niwahi kitandani kufanya nini?wakati najua hutoki!
 
Ukali, maneno yako,kujifanya mjuaji' mi nikajua unakimbilia 60 or 65 years kabisa, kumbe ndo unaanza .... Natamani nikuone hata mara 1

Sasa kwa mfano maneno yangu yepi hasa yalokufanya ujue mimi nakimbilia umri wa mama yangu?

Nikuwekee hapa picha yangu unione nilivyo?
 
hawa dawa yao ni kuanza kuwa bize kama wao..yni bize na smu 24 hrs...mpaka kieleweke. usiumize kchwa kbisa.
 
Nina Mate 8 akishika tu simu yangu inamrekodi unknowingly, nikirudi najua then kifuatacho itv, sijaweka hata password. This is living na ndo zama zake nikiwa church tu ndo huwa naiacha kwenye gari ila Toi,Road,Job,Kikaoni ni simu,smart tamu bwana hasa ukiwa nayo yenyewe😛
 
Mungu atusaidie tu HAHAHAHAHAHA maana tukifika home tukizima Simu ili tusichati mnakuja na kesi nyingine, Kwanini Umezima simu!!!
 
Tatizo ni kwamba hambebi majukum yenu kama wanaume,mwanamke ndo anabeba majukum yenu pasipo nyie kujua hamko sahihi!!mwanamke hayupo kwa ajili ya kulala kwenye kitanda chako tu,
 
Kwani kwao hakuna nyumba,mambo ya maisha mnatafakari sa ngapi na mkeo kama mnalala saa sita????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom