MtanzaniaJeuriSr.
Senior Member
- Mar 28, 2012
- 187
- 96
Kwa mfano umeandika hii post na unataka majibu, basi tuache tuwe busy kukujibu
Anakufahamu vizuri?Nina hela za kunitosha kuweza kujinunulia chochote kile nitakacho.
Sinunuliwi vitu na mtu mimi.
Mwulize Kiranga...atakwambia.
Pole sasa dadaaang manka. Yamekufka hapaaaazz???Mnasemeswa hata kujibu mnashindwa kisa bado!!!! Jamni ukitaka udumu kwenye ndoa yako kwa amani na upendo acha ku chart kwenye hii mitandao, mana mnafanya sim kama wake zenu,mkeo yuko kitandani saa tatu we kwenye kochi mpaka saa sita.mh!!!
ndoa ndoanoHuyu mwamba ukikutana naye kwenye foleni ya ATM kakaa mbele yako, muombe tu akuruhusu uanze wewe, akianza yeye anamaliza hela zote kwenye ATM halafu akaunti yake ndiyo kwanza inapiga jalamba hata mchezo haijaanza.Nina hela za kunitosha kuweza kujinunulia chochote kile nitakacho.
Sinunuliwi vitu na mtu mimi.
Mwulize Kiranga...atakwambia.
Kwanza we Chiqu siku nikukupata nasimamia kucha aisee mpaka damu itoke,lakini lazima tupime kabla ya kukamuana bhana au vipi?Hawa viumbe ndo walivyo
Aaah hata kama nikikukuta umelala unakoroma lazima nikuamshe unipe haki yangu bhana Kasinde,ni kwa raha na karaha tumeapa kanisani,yaani nakupanua tu hata ukasirike baby.Kuna mengi sana ya binafsi ya kufanya zaidi yankumfatilia mtu a nachat na nani.
Mie hesabu zangu ni rahisi tuu, nikiona mtu hanipi muda ninaompa mimi basi simfatilii nampa uhuru wake nami nageuka kufanya yangu mengine. Akija kustuka kuwa sina habari nae kama akinikuta bado available basi bahati yake laah itakuwa imekula kwake mazima.
Kasie.
Te Te Te Te Te yaan huu uzi umenkamata Leo usk kati nko na sim ndii while my dear wife amelala but sio kila mwanaume aliye busy with phone is charting na women.Some of us tunasoma sana kwenye hiz social media kuongeza maarifa. Nmejifunza a lot of things kupitia social media kwa kutumia sim especially marketing strategies na nmekuza my business kwa kufanya marketing through phones. All in all hoja yko n nzur hasa kwenye kutenganisha Muda WA sim, kazi na socialization especially with children any your wife. Claim your space unapoona ur husband is too much on phone jpo utumie busara kuongea naye sio mabavu.Wanajamvi natumai siku yenu imeisha salama salimini,hivi inakuwaje mwanaume una mke,ila kucha kutwa uko bzy tu bado, jamani mnatafuta nini huko au kuna la ziada,? Mwanaume anakula na sim mkononi ni ku chart tu na wanawake mnaandikiana sms za ngono tu, mwanaume una lala sa sita kisa bado!!!mh!!! Siamini kama ni wote mtakuwa na hiyo tabia,ila nitafsireni mwanaume wa hivi ana maana gani?mnapaka kufanya kazi fulan mwenzako anaingia ndani udhani labda kaenda kujisaidia anachelewa unaamua kumfuta una kuta yuko bz na sm bado!!!!! Sim hizi!!
Inategemea unatumia vip hyo mitandao na reception ya mkeo pia wengine wakishapata watoto basi kila musa yuko kwa watoto mume unatelekezwa unasema MPKA unachoka mwisho unaona isiwe taabu sana wacha social media iwe my favorite part. Pia tambua kua km uko na business social media is very important for marketing. I can confirm on thisMnasemeswa hata kujibu mnashindwa kisa bado!!!! Jamni ukitaka udumu kwenye ndoa yako kwa amani na upendo acha ku chart kwenye hii mitandao, mana mnafanya sim kama wake zenu,mkeo yuko kitandani saa tatu we kwenye kochi mpaka saa sita.mh!!!
Inaonyesha mume hakupigi ze duduz ndio maana unalalamika angekuwa ana kuoa duduz ya maana wala usingelalamikaTukianza mahusiano nnje mnaanza oh!!mke amekuwa kicheche!!kumbe mnayatafuta wenyewe!