miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
hahahaaa! Kumbe unawajua akina mario wenzio. Na ww punguza basi sio vzr
wewe mimi siyo mario mimi mtoto wa kike piga kazi kama trekta
hahahaaa! Kumbe unawajua akina mario wenzio. Na ww punguza basi sio vzr
Sina ninayelala nae
||"You were too young to understand"||
Neta muzimaa..anahudumia kupita maelezo lo nampendajee sasa..mwanaume jasho bwanavp netanyahu hajambo??
Katika pitapita zangu hapa na pale nmesikia malalamiko mengi sana ya vijana dhidi ya wanawake. Hata hapa jf hasa MMU kumekuwa na malumbano mengi sana ya kuwa wanawake wengi siku hizi wanapiga sana mizinga............ Jaman hiyo mizinga mnayoisema ilikuwepo tangu zaman, huo ndio utaratibu wake ktk mapenz. Kukwepa mizinga ni sawa na kufanya biashara bila kulipa kodi. Ili mambo yaende sawa lazma mwanaume utoe kitu. Hapa ni toa kitu upate kitu......... Sasa kama wewe unaona kumhudumia mwanamke ni mzigo acha wahudumie wanaoweza halafu uishie kulalama tu...............
Wacha weeeNgoja wamalize cha fasta waje!!!
Hongera Bubu Natumaini 2008 Utasema:::haya Raila Huyo
Katika pitapita zangu hapa na pale nmesikia malalamiko mengi sana ya vijana dhidi ya wanawake. Hata hapa jf hasa MMU kumekuwa na malumbano mengi sana ya kuwa wanawake wengi siku hizi wanapiga sana mizinga............ Jaman hiyo mizinga mnayoisema ilikuwepo tangu zaman, huo ndio utaratibu wake ktk mapenz. Kukwepa mizinga ni sawa na kufanya biashara bila kulipa kodi. Ili mambo yaende sawa lazma mwanaume utoe kitu. Hapa ni toa kitu upate kitu......... Sasa kama wewe unaona kumhudumia mwanamke ni mzigo acha wahudumie wanaoweza halafu uishie kulalama tu...............
aisee nimekupenda buree
Mkono mtupu haulabwi na kama wadhani hiyo shughuli ni krahisix2 kukufkisha mshindo x ujifanyie mwenyewe ili usigharamike.Eeeebooooo?
lakin usizidishe sasa kumpiga mkuu Himidin
Njoo..Mhhhhhhh
Nina bahati sijapigwa mzinga kitambo sana.
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk