Wanaume punguzeni kulalamika

Wanaume punguzeni kulalamika

Duu mim huwa cpendi mwanaume alalamike kwa lolote lile jaman huwa nakereka basi tu
 
Uzuri nahudumia hadi kunipiga mzinga anashindwa

hapo umeshinda...... Kama umejijengea katabia ka kumpa huduma bila yeye kuomba sidhan kama utapigwa mizinga hovyo hata yeye ataona aibu...... Tatizo letu vijana asipokuomba na ww unakuwa kimya hapo lazma upigwe tu.... Hebu zoea kumpa huduma tena zisigharim hela nyingi...
 
Katika pitapita zangu hapa na pale nmesikia malalamiko mengi sana ya vijana dhidi ya wanawake. Hata hapa jf hasa MMU kumekuwa na malumbano mengi sana ya kuwa wanawake wengi siku hizi wanapiga sana mizinga............ Jaman hiyo mizinga mnayoisema ilikuwepo tangu zaman, huo ndio utaratibu wake ktk mapenz. Kukwepa mizinga ni sawa na kufanya biashara bila kulipa kodi. Ili mambo yaende sawa lazma mwanaume utoe kitu. Hapa ni toa kitu upate kitu......... Sasa kama wewe unaona kumhudumia mwanamke ni mzigo acha wahudumie wanaoweza halafu uishie kulalama tu...............
Mmezidi omba omba utasikia baby nikuambie kitu niambie baby na shida 50000 baby cm yangu imepotea baby Mimi Leo ctaki kula nyumbani baby Mimi huwa siwaelewi Hawa dadazetu
 
Katika pitapita zangu hapa na pale nmesikia malalamiko mengi sana ya vijana dhidi ya wanawake. Hata hapa jf hasa MMU kumekuwa na malumbano mengi sana ya kuwa wanawake wengi siku hizi wanapiga sana mizinga............ Jaman hiyo mizinga mnayoisema ilikuwepo tangu zaman, huo ndio utaratibu wake ktk mapenz. Kukwepa mizinga ni sawa na kufanya biashara bila kulipa kodi. Ili mambo yaende sawa lazma mwanaume utoe kitu. Hapa ni toa kitu upate kitu......... Sasa kama wewe unaona kumhudumia mwanamke ni mzigo acha wahudumie wanaoweza halafu uishie kulalama tu...............

christine anakula raha kumbe tumwite aje athibitishe mwenyew kama ni ya kweli haya;
 
hahaahha hata kwenye biblia imeandikwa.. nawe mwnaume utakula kwa jasho. period! hushangai unamlipa changudoa lakin raha mnayo peana yy ndy anaenjoy zaidi yako.... hyo si mizinga unatakiwa hudumia mpenz wako... hata mwanamke awe na pesa vipi mme unatakiwa uhakikishe amekula kwa pesa yako that the bottom like. nyie wa wapi nyie!
 
Back
Top Bottom