Wanaume punguzeni kulalamika

Wanaume punguzeni kulalamika

Usiogope mkuu ungetupia tu japo mstari mmoja watu wakapata kitu.

aisee! Maandiko ya vitabu vitakatifu huwa nayaogopa sana kuyavamia kwasababu naweza kukufuru bure. Yale mambo usipoongozwa na roho wa Mungu hakika utaondoka patupu
 
Katika pitapita zangu hapa na pale nmesikia malalamiko mengi sana ya vijana dhidi ya wanawake. Hata hapa jf hasa MMU kumekuwa na malumbano mengi sana ya kuwa wanawake wengi siku hizi wanapiga sana mizinga............ Jaman hiyo mizinga mnayoisema ilikuwepo tangu zaman, huo ndio utaratibu wake ktk mapenz. Kukwepa mizinga ni sawa na kufanya biashara bila kulipa kodi. Ili mambo yaende sawa lazma mwanaume utoe kitu. Hapa ni toa kitu upate kitu......... Sasa kama wewe unaona kumhudumia mwanamke ni mzigo acha wahudumie wanaoweza halafu uishie kulalama tu...............


Mmmmh!!!!
 
..yaani hawa viumbe, hata huko beijing sijui walifata nini!!!!!
..haki sawa kwa wote, kwani utamu napata pekeyo?? worse enough, udate mdada anayekuzidi kipato, utapigwa mizinga iliyoshiba..
 
sio kosa ila umri na mda muafaka ukifika utajua tu....... Vijana wanaangamia kwa kukosa maarifa

Mkuu usidhani nina umri mdogo kushindwa kuelewa hili. Ila mimi naona wewe ndiye unaangamia kwa kukosa maarifa.



||"You were too young to understand"||
 
..yaani hawa viumbe, hata huko beijing sijui walifata nini!!!!!
..haki sawa kwa wote, kwani utamu napata pekeyo?? worse enough, udate mdada anayekuzidi kipato, utapigwa mizinga iliyoshiba..

Walienda kutembea na kufanya shopping! Mi sikuenda wala sikujui!
 
hiv unataka kutomhudumia mwanamke ndio njia ya kupunguza kuchapiwa au maumivu pindi ukichapiwa??

success is worthless if you have no one to share it with....!!!
 
Yeyote unayelala naye!

na kwann ulale na kila mwanamke?! Kama moyo wako unapenda wengi basi hudumia wote...... Kwasababu tunakula kadir matumbo yetu yanavyohitaji.... Ww kama uwezo wako ni mke mmoja bas hudumia huyo, kama ni watano fanya vivyo hivyo
 
acha ubwege ww... kwan ile raha unapata mwemyew? au kuna dem unafukuzia hum jf ko unajishebedua!!!!!!!!???????
 
Bora kuweka price tag kama bidhaa nyingine, lakini mambo ya kuitana Baby bila Diapers, Honey bila mzinga wa asali, na Sweet bila pipi. Tupa kule, nambie gharama za mechi tupige show then kila mtu ana sepa mbele? Lakini kujifanya wapenzi kumbe wapuuzi haikubaliki! Kuanzia sasa naomba nisiitwe Mnyanyasaji wa Kijinsia niki uliza bei kabla ya show ili nilipe kodi halali
 
Mkuu usidhani nina umri mdogo kushindwa kuelewa hili. Ila mimi naona wewe ndiye unaangamia kwa kukosa maarifa.



||"You were too young to understand"||

hahaaa! Hebu niambie nifanyeje akiniomba kitu?! Nmnyime wakat ninacho? Au nifanyeje?
 
na kwann ulale na kila mwanamke?! Kama moyo wako unapenda wengi basi hudumia wote...... Kwasababu tunakula kadir matumbo yetu yanavyohitaji.... Ww kama uwezo wako ni mke mmoja bas hudumia huyo, kama ni watano fanya vivyo hivyo

Nakubaliana na wewe! Kama analala na wengi basi ni wajibu kuwahudumia wote!
 
hahaaa! Hebu niambie nifanyeje akiniomba kitu?! Nmnyime wakat ninacho? Au nifanyeje?

Unamkopesha, tena kwa maandishi.


||"You were too young to understand"||
 
Mambo ya kuonga yalishapitwa na wakati sasa hivi nikumega kisela.mimi nashindwa kuelewa wivu unatokea wapi? wakati hujamkuta bikira.umekuta mlango uko wazi hata mkono unapita alafu unakuwa na wivu.fyoooo!!!
 
acha ubwege ww... kwan ile raha unapata mwemyew? au kuna dem unafukuzia hum jf ko unajishebedua!!!!!!!!???????

mkuu punguza ukali wa maneno basi! Nakuuliza kidogo. Bila shaka utakuwa unafanya kaz. Kama unanya kaz kwa maendeleo ya taifa kwann tena ulipe kodi?! Wakat ile kaz unayofanya ofisin ni kwaajili ya nchi yako??
 
Back
Top Bottom