hahahaa! Usiudanye umma kaka! Basi mwambie shemeji aje kukopa kwangu
Mkuu ningeweza kuongea nawe zaidi nijue kipato chako, how do you support your parents na ndugu zako, unavyoweza kujiweka sawa wewe binafsi kiuchumi, ukaweza kufanya savings, kisha bado ukapata pesa ya kumhonga mwanamke. Until then, Alamsik.
||"You were too young to understand"||
mkuu nina kipato cha mtanzania wa kawaida..... Lakin lazma nibajeti mapato na matumiz...... Kias gan kiende kwa ndug na wazaz na kias gan kiende kwa nimpendaye na kias gan kiingie kwenye mipango mingne
asante kwa kunielewa...... Lakin haya mambo ya kulalamika yann?! Wakat umetaka mwenyew kula vingi halafu kuhudumia unakwepa
kwann kaz wanayo mkuu
eheee! Umekuja hebu wathibitishie hawa jamaa, naona wanapingana na mm
Tatizo ni kwamba wapo wanawake aao dai hela nyingi kupita kiasi. halafu mwisho wasikuwanakuwa wasaliti.
Ukisubiri aombe ataomba nyingi,kuwa na kautaratibu ka kumpa kiasi kidogo unacho afford mara kwa mara bila yeye kuomba.