Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Watu watamwagika wengi hapa, waajiri kazi wanayo kesho
Katika pitapita zangu hapa na pale nmesikia malalamiko mengi sana ya vijana dhidi ya wanawake. Hata hapa jf hasa MMU kumekuwa na malumbano mengi sana ya kuwa wanawake wengi siku hizi wanapiga sana mizinga............ Jaman hiyo mizinga mnayoisema ilikuwepo tangu zaman, huo ndio utaratibu wake ktk mapenz. Kukwepa mizinga ni sawa na kufanya biashara bila kulipa kodi. Ili mambo yaende sawa lazma mwanaume utoe kitu. Hapa ni toa kitu upate kitu......... Sasa kama wewe unaona kumhudumia mwanamke ni mzigo acha wahudumie wanaoweza halafu uishie kulalama tu...............
Hehehe.. Hii yote ni kuhalalisha
Katika pitapita zangu hapa na pale nmesikia malalamiko mengi sana ya vijana dhidi ya wanawake. Hata hapa jf hasa MMU kumekuwa na malumbano mengi sana ya kuwa wanawake wengi siku hizi wanapiga sana mizinga............ Jaman hiyo mizinga mnayoisema ilikuwepo tangu zaman, huo ndio utaratibu wake ktk mapenz. Kukwepa mizinga ni sawa na kufanya biashara bila kulipa kodi. Ili mambo yaende sawa lazma mwanaume utoe kitu. Hapa ni toa kitu upate kitu......... Sasa kama wewe unaona kumhudumia mwanamke ni mzigo acha wahudumie wanaoweza halafu uishie kulalama tu...............
hahahaaaa! Najua matatzo kama hayo kwako hamna kwasababu naamin Excel hawez kufanya makosa kama hayo
Tangu zamani mizinga ilikuwepo na pia huduma ilikuwa nzuri. sasa hivi mapenzi ni kama siasa za tz naona muanze kutumia mashine za tra mrejesho uingie ccm ole wenu cdm ichukue nchi mmekwisha.
aaaa! Mkuu upo na huku nmekuona kuleeeee kwenye Vatcan na Rc
mkuu sio kuhalalisha huo ndio ukweli wa mambo....... Utajiskiaje mpenz wako akiumba laki1 halafu ukamnyima na baadaye kwa vile anashida akaja kuomba kwangu nikampa hivi utajiskiaje hapo?! Utamlaumu kuwa ni malaya??
wewe hangaika kuhonga wenzio wanapewa buree...mpaka hela ya LOJI wanalipiwa..
hahahaaa! Safi sana niliizifurahia sana hoja zenu lakin bahati mbaya mm sna uzoefu na mambo yale
Content yako inazungumzia kumhudumia mke au mwanamke?
Katika pitapita zangu hapa na pale nmesikia malalamiko mengi sana ya vijana dhidi ya wanawake. Hata hapa jf hasa MMU kumekuwa na malumbano mengi sana ya kuwa wanawake wengi siku hizi wanapiga sana mizinga............ Jaman hiyo mizinga mnayoisema ilikuwepo tangu zaman, huo ndio utaratibu wake ktk mapenz. Kukwepa mizinga ni sawa na kufanya biashara bila kulipa kodi. Ili mambo yaende sawa lazma mwanaume utoe kitu. Hapa ni toa kitu upate kitu......... Sasa kama wewe unaona kumhudumia mwanamke ni mzigo acha wahudumie wanaoweza halafu uishie kulalama tu...............
mkuu acha nihonge tu najua ndio wajibu wang pindi napokuwa na nmpendaye........ Na nimwiko kwangu kupokea hela kutoka kwa mwanamke.... Vingnevyo labda itoke kwenye vyanzo vyangu... Lakin sio katoka huko ambako mm sijui kaitoa wapi na anakuja kunipa! Hilo kwangu mwiko na dhamira hainiruhusu