Wanaume palilieni shamba lenu

Wanaume palilieni shamba lenu

Wanaume wengi ni wavivu kufanya usafi wa nguo za ndani, soksi na hata makao makuu. Unakuta jitu limefuga manyele ya kwapa kama rasta, kule kwa dushe ndo usiseme loh! Embu nyoeni muepuke aibu na magonjwa.

Wanaume zama zimebadilika.
Huwa unawatoa wapi wa hivyo? mbona mimi niko msafi tu!!! jitahidi kuchagua.
 
Wanaume wengi ni wavivu kufanya usafi wa nguo za ndani, soksi na hata makao makuu. Unakuta jitu limefuga manyele ya kwapa kama rasta, kule kwa dushe ndo usiseme loh! Embu nyoeni muepuke aibu na magonjwa.

Wanaume zama zimebadilika.
Kunyoa sio kuepuka magonjwa bali nikujiweka karibu sana na maambukizi.....na hasa ukizingatia kuwa kunyoa kuna sababisha vitundu vya ngozi kuwa wazi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na wasi wasi na tabia yako. unaonyesha ni masikini na utakuwa ni .....????
 
Sawa. Na nyie muwe mnaosha chuchu zenu, sisi mashabiki huwa tunashindwa kuvuta stim kwani huwa ni chafu na hatuwezi tia ulimi pale
 
Wanaume wengi ni wavivu kufanya usafi wa nguo za ndani, soksi na hata makao makuu. Unakuta jitu limefuga manyele ya kwapa kama rasta, kule kwa dushe ndo usiseme loh! Embu nyoeni muepuke aibu na magonjwa.

Wanaume zama zimebadilika.
Hv na za kichwan usiponyoa unapata magonjwa eeeh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wengi ni wavivu kufanya usafi wa nguo za ndani, soksi na hata makao makuu. Unakuta jitu limefuga manyele ya kwapa kama rasta, kule kwa dushe ndo usiseme loh! Embu nyoeni muepuke aibu na magonjwa.

Wanaume zama zimebadilika.
Yamekupata? Kama nakuona vile unavyomsuka jamaa mabutu kunako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wengi ni wavivu kufanya usafi wa nguo za ndani, soksi na hata makao makuu. Unakuta jitu limefuga manyele ya kwapa kama rasta, kule kwa dushe ndo usiseme loh! Embu nyoeni muepuke aibu na magonjwa.

Wanaume zama zimebadilika.

Kujua wanaume makao yao makuu hayajafanyiwa usafi mojawapo ya haya unayafanya:
1)Unawapiga chabo wakiwa bafuni.
2) Unao wapenzi wengi.

Lipi katika hayo umetumia kufikia ushuhuda huo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom