Wanaume palilieni shamba lenu

Wanaume palilieni shamba lenu

Kweli kabisa usafi wa mwili ni wa mtu binafsi hivyo wakitaka eti ukimkuta ana kichaka eti uende ukanunue topaz hiyo hata siafiki kwa kweli.

Nimekumiss pia dada ake tena sana. Niambie dada yangu mzima weye?

Khaaaah!! Yaani hawa bwana, kila tatizo lao huwa wanawaamishia wanawake wakati ni wachafu tu!!

Mie mzima wa afya kipenzi, sijui weye?
 
Kweli kabisa usafi wa mwili ni wa mtu binafsi hivyo wakitaka eti ukimkuta ana kichaka eti uende ukanunue topaz hiyo hata siafiki kwa kweli.

Nimekumiss pia dada ake tena sana. Niambie dada yangu mzima weye?
Wanaume wengi wanasumbuliwa na ulimbukeni wa uanaume wao
 
Wanaume wengi ni wavivu kufanya usafi wa nguo za ndani, soksi na hata makao makuu. Unakuta jitu limefuga manyele ya kwapa kama rasta, kule kwa dushe ndo usiseme loh! Embu nyoeni muepuke aibu na magonjwa.

Wanaume zama zimebadilika.
Sasa kwa taarifa yako zile nywele kunako maeneo ni kinga ya magonjwa mbali mbali ikiwemo UTI n mengine ya znaaa.... nyie endeleen kunyoa tu n mtakipata mnachokitafuta cku1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukiona mwanaume yuko hivyo ujue mwanamke wake pia yuko hivyo hivyo, maana kama mwanamke anapenda usafi hatapenda kuwa na mtu mchafu
 
Khaaaah!! Yaani hawa bwana, kila tatizo lao huwa wanawaamishia wanawake wakati ni wachafu tu!!

Mie mzima wa afya kipenzi, sijui weye?
Ndio hapo sasa yapo ambayo wanawake yanatuhusu ila ya usafi wa mwili wajitahidi tu kwa kweli.

Mie pia sijambo dada ake. Nadhani tunapishana kidoogo.
 
Ndio hapo sasa yapo ambayo wanawake yanatuhusu ila ya usafi wa mwili wajitahidi tu kwa kweli.

Mie pia sijambo dada ake. Nadhani tunapishana kidoogo.
Wqjifanyie tu usafi kwakweli, wasitafute visingizio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom