Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,032
- 126,032
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Utakua una date na bodaboda na Wauza mikaa
aeiou
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Utakua una date na bodaboda na Wauza mikaa
aeiou
Hahahaha ...nimekusikiaMonica amerudi na joseverest karudi walikokuwa wanajua wenyewe haya tumekusikia tutanyoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee. Dada ake watu wanafoka hatari. Ila ujumbe unafika kiaina.Lazima wakugeuzie hilo balaa.
Ujumbe uwafikie tu kwakweli.Aisee. Dada ake watu wanafoka hatari. Ila ujumbe unafika kiaina.
Nimeielewa tatizo nilitaka kuhakiki kama kweli umefanya tafiti kwa msisitizo huu nakuaminiaMbona lugha iliyotumika imeeleweka, kitu gani usichoelewa au mshale umetua kwenye moyo?
Kweli kabisa usafi wa mwili ni wa mtu binafsi hivyo wakitaka eti ukimkuta ana kichaka eti uende ukanunue topaz hiyo hata siafiki kwa kweli.Ujumbe uwafikie tu kwakweli.
Hivi unajua mekumiss!!
Inayohusiana na mada unayoielezeaPicha ya nani mkuu!
AhahaaaaaaaaaaaaaHadi kukamilisha utafiti umeona vichaka vingapi na kati ya wanaume wangapi? Ulichagua sample yako kwa vigezo gani?