Mbona lugha iliyotumika imeeleweka, kitu gani usichoelewa au mshale umetua kwenye moyo?Nao huo ni utafiti !!!! Zile za puani! Sawa kila mmoja anaziona. Zile za kidevuni ! Sawa hazijifichi
Zile za kwapani! Sawa yawezekana vest imevaliwa
Msitu huu utafiti wake mgumu inahitajika Maelezo zaidi
kwani lini ulikuta tofautiKama umeanza Leo sawa
Za kuambiwa......Lini nywele zikauguza??
Mwanamke ananyoa ili avae tule tukaoshi twenu, kule chini ananyoa kwa tahadhari ya Hedhi
Sasa mimi nanyoa ili iweje??
Hafu ukumbuke mwanaume anapaswa asifuate mawazo yenu yooote.
Make vitu mnavyovipenda mnavijua wenyewe, leo unakuja na hili kesho unakuja na lile
Wapo mumewasema eti mwanaume mweusi kama rami, mkasababisha watu wakaanza tabia za ki kongo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni kweli, lakini umewahi kutambua kuwa kuna wanawake wanapenda misitu maeneo hayo?
Umewahi kufikiria kuwa ipo sanaa ya kuzitumia nywele za huko zikanogesha mechi?
Bila shaka hapana, basi sio kila jambo ni baya kwa wote.
NB:
Hilo la usafi ni sahihi
Aisee. Nimecheka.Mzigo unafichwa afu inakuwa inaonekana kama kobe, sawa tumewasikia pia na nyie mkikuta mzigo uko hivyo unamuagiza topaz kwanza
Kuna sehemu nilikuita swahiba halafu sikukuona ukitokea.Ujumbe umefika