Mimi wanaume wanaoomba bia bar hawaniumizi kichwa sababu naweka faru Joni hapo na maji kazi inaendelea, shida yangu Mimi napenda sana kunywa kwenye vi premises vidogo vidogo na unakuta vingi ni vinamilikiwa na hawa mabibie Sasa hawa changamoto Yao kubwa atataka muende sawa ukiagiza bia 2 nayeye umuagizie na mind you ili afanye biashara lazima akomae na tenda ndogo ndogo yani nayeye awe mnywaji au mteja. Mixer kurudisha change kwao ni msamiati mgumu atatafuta visababu ili mradi uache change kesho ukiirudia circle inaendelea, Sasa dawa Mimi namkula naendelea pub nyingine woiiii.