Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,337
Ila kuomba mwanaume mwezio jau bora umuombe mwanamke kwa mwanaumeNa hata shimo la kuwekwa mwili wake, watachimba wanaume, na hata mwili wake utaoshwa na wanaume. Bora umemkumbushaa
Ila kuomba mwanaume mwezio jau bora umuombe mwanamke kwa mwanaumeNa hata shimo la kuwekwa mwili wake, watachimba wanaume, na hata mwili wake utaoshwa na wanaume. Bora umemkumbushaa
Jitafakari sana huu mtazamo wako, mwanaume hadi mzoa taka ana umuhimu wake.
Hii yako. Noma sana mkuuTatizo menu kuna vitu vingi hamvijui, rafiki yangu Mungu jina kampuni enzi za Sheraton hotel alinifundisha namna ya kuzamia minuso ya ubalozi wa nchi za zao.
Kanuni ya kwanza lazima uwe na suti six button na ukishuka kwenye gari mlangoni unatembea kwa speed kama mtu ambaye yupo nyuma ya wakati mlangoni huwezi kuulizwa kadi hatabsiku moja.
Yule jamaa yangu tumeshazamia sherehe zao pale Sheraton hotel bila kadi na mpaka vijiko vile executive alikuwa akikipenda kijiko anaiba, ndio Mara ya kwanza nazijuwa tabia za wazungu kama vile wabongo wanaovyoiba mataulo ya hotelini.
Hata akipata tatizo huko bar watakaomuokoa ni wanaume.Sanduku sijui Jeneza litabebwa na wanaume tu
Sanduku sijui Jeneza litabebwa na wanaume tu
Jau ya nini wewe acha kuigiza maisha.Ila kuomba mwanaume mwezio jau bora umuombe mwanamke kwa mwanaume
Wewe bado hujafikia kutowa msaada, bado unahitaji msaada.ipo misaada naweza kutoa kwa mwanaume mwenzangu sio kumnunulia bia tena aje bar kabisa aniombe bia.
Natoa michongo ya kutafuta hela kwa mwanaume mwenzangu, boda mwanaume mwenzangu akinibeba namlipa zaidi ya alichodai, mwana ana njaa kitaa anahitaji msosi nitamlipia msosi ale SIO BAR NIKUKUTE UNAOMBA BIA...
Hata username yake tu inajieleza 😂😂😂😂😂Wewe bado hujafikia kutowa msaada, bado unahitaji msaada.
Utajili au kuwa na maisha bora kunaanzia rohoni kwanza.
Maandishi ya mtu yanaongea yenyewe.
Watu humu asimilia kubwa chokaa mbaya tunagombania wote daladala lakini kutwa wao matajiriHalafu wengine humu wanajisifu lakini kiuhalisia choka mbaya.
Ndo wanapofeli hapo.Watu humu asimilia kubwa chokaa mbaya tunagombania wote daladala lakini kutwa wao matajiri
Mimi ata niwe nashida siwez omba mwanaume mwezangu nitaomba kwa mwanamke hawa madame wenzetu ukiwaomba unaambiwa unapenda mseleleko na kuitwa majina ya kisenge na hua sisev namba ya mshikajiJau ya nini wewe acha kuigiza maisha.
Mademu sikuiz hawashoboki na pesa ata kidogo ukijifanya unapesa ndio wanakuita danga utadangiwa na pesa zikaja kwa mwanaume mwengine akashine vzr sana hili nimeshuhudia sanaNdo wanapofeli hapo.
Na wengi hapo target kupata attention kutoka kwa mademu.
Kuna mtu jana kaja humu analialia demu wake anampuna sana.Mademu sikuiz hawashoboki na pesa ata kidogo ukijifanya unapesa ndio wanakuita danga utadangiwa na pesa zikaja kwa mwanaume mwengine akashine vzr sana hili nimeshuhudia sana
Iyo kazi kwake msiende kujitutumua.kwq demuKuna mtu jana kaja humu analialia demu wake anampuna sana.
Dem Si kamuona jamaa punguani Yani week 2 tu dem anataka atie 450k kibindoni kiulaiini na Bdo ukute dem anagongwa nje huko na mtu asiyempa hata 100Kuna mtu jana kaja humu analialia demu wake anampuna sana.
Wewe bado hujafikia kutowa msaada, bado unahitaji msaada.
Utajili au kuwa na maisha bora kunaanzia rohoni kwanza.
Maandishi ya mtu yanaongea yenyewe.