Wanaume omba omba wa baa, acheni hizo

Wanaume omba omba wa baa, acheni hizo

Si kwa uchoyo ila inaleta kero sana, unakuta mtu una pesa kidogo kama elfu tano hivi, unasema ngoja nipitie baa hapo nipate hata vibia viwili vya kupatia usingizi niende nyumbani.

Ukiingia baa sasa unazingirwa na wakaa baa tena wengine na heshima zao, kuanza kung'ang'ania umununulie bia!!

Ndiyo jibu ni rahisi utamjibu sina hela ila sasa mpaka akuelewe ni maelezo mengi kama si kugombana.

Wakati mwingine unaweza rudia mlangoni ukicheki omba omba wa bia wanavyokukodolea macho wakingoja ukae waje anza kukupamba sifa za kindezi huku wakiomba bia😳😳.

Hii ni aibu sana, kama huna mia bora ukae home acha kukera watu.
Mtu unanunua kanyama choma nusu kamewekwa mezani tu, mtu huyo nae kuzuga na salamu mara katia fingers😂😂

Hawana heshima wala adabu tena sometimes mtu hata huna huusiano nae wa karibu.
Be very careful about them, because not all people who are begging in the restaurants, bars and liquor stores are the 'real beggers'. Others are there for the special duties or for the specific missions. Be more cautious if one or more of them just take the sit near you or next to you., "THE SNAKES IN SUITS".
Wa-Congoman wana Kiswahili chao, wanasema " akili kumkichwa".
 
Si kwa uchoyo ila inaleta kero sana, unakuta mtu una pesa kidogo kama elfu tano hivi, unasema ngoja nipitie baa hapo nipate hata vibia viwili vya kupatia usingizi niende nyumbani.

Ukiingia baa sasa unazingirwa na wakaa baa tena wengine na heshima zao, kuanza kung'ang'ania umununulie bia!!

Ndiyo jibu ni rahisi utamjibu sina hela ila sasa mpaka akuelewe ni maelezo mengi kama si kugombana.

Wakati mwingine unaweza rudia mlangoni ukicheki omba omba wa bia wanavyokukodolea macho wakingoja ukae waje anza kukupamba sifa za kindezi huku wakiomba bia😳😳.

Hii ni aibu sana, kama huna mia bora ukae home acha kukera watu.
Mtu unanunua kanyama choma nusu kamewekwa mezani tu, mtu huyo nae kuzuga na salamu mara katia fingers😂😂

Hawana heshima wala adabu tena sometimes mtu hata huna huusiano nae wa karibu.
Hao ni machoko ila wanazuga tu humo bar
 
Mwanaume rijali hawezi Kaa mazingira hayo anaombaomba kama nasema uongo ukikutana na jamii ya watu hawo wagusie Hilo swala uone kama watalataaa
Huwa una maanisha Machoko ndo omba ombaa?
 
Vitu vingine vidogo tu acheni kuvikuza.

Kumnunulia bia mtu jambo la kawaida tu kama huna sema huna.

Kwanza bia za peke yako peke yako hazinogi .

Mimi mara nyingi nikikaa sehemu hata kama mtu simjui ila niliona anavibe namchukulia bia tu vibe wote
Kumnunulia mtu kama pesa ipo si mby, sasa unahela ya bia mbili then mtu anakuja kaba umlipie bia.
tena ukute hata si mshkaji wako na unajua kabisa ndo mishe zake kuomba pombe watu huko baa daily
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom