glass amo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,825
- 4,639
Wanakera sana,kuna mmoja jana kaniomba bia,me nkamuomba mkundur akarusha ngumi..


Sent from my itel A662L using JamiiForums mobile app
Wanakera sana,kuna mmoja jana kaniomba bia,me nkamuomba mkundur akarusha ngumi..


We mwamba shujaa Sana hakika hatowahi rudia daima!! Ye hataki na vyake Sio 😄😄😄Wanakera sana,kuna mmoja jana kaniomba bia,me nkamuomba mkundur akarusha ngumi..
hahaaaaaaaaaaaa pole sanaaa mkuuuu
natamanii wanyweeeee kvant ama pombe kalii nipigie nije hio game utanipenda
huku kwetu walikuwa ukinunua kvant ndogo haoo bora waombe bia wanakuja na kikombe
wakantesaga sanaaa nkaona isiwe tabu....
nikacheza dili na mhudumu bahati wengi wanapenda kuchanganya...nkanunua dulucolax za 4000 nkasagaa ..hizi na za kuharisha aka kusafisha tumbo...nkanunua energy nne ,,akafungua counter akazichanganya na dulucolax...nkamweka sawa nikiagiza yangu toa karatasi ya pemben haikuchanganywa ...wakaona zilizofwata wala sikteseka hamida wape energy weka kwa bill pemben kuna kvant kubwaa
chooooo kilikuwa foleni ya mwendokasi ndugu wakakimbilia kwao kuharisha nikabaki na jamaa nami nikaabidi niunge naumwa wasije hisi mbona pombe moja anaenunua haarishi
kesho kutwa yake nikiagiza hata dompo wanaambiana aisee yule sioo mtu...
yaan niliwaza nihame pub ama lah nkaona kwa pesa yangu no wacha niwap uamuzi waniogope ama waendelee kuomba.........
hili lla beer kipengele wapotezee na kingine hawa mpaka wanaomba mara kwa mara tuliwazoesha enzi hizo tukiwa poa sasa wakikuona bar wanajua bado unaingia n laki kumbe gawa kwa 20..........
Sasa ndiyo kila siku vizinga mkuu?..Vitu vingine vidogo tu acheni kuvikuza.
Kumnunulia bia mtu jambo la kawaida tu kama huna sema huna.
Kwanza bia za peke yako peke yako hazinogi .
Mimi mara nyingi nikikaa sehemu hata kama mtu simjui ila niliona anavibe namchukulia bia tu vibe wote
wanakera sio kitoto,Kuna siku me nimeenda tu baa flan mi sio mnywaji kilevi ila napenda tu kwenda baa kula nyama,nimekaa pale nikaagiza nyama kilo ikarostiwa baada tu ya kuanzia kula jamaa akaja kuchukua nyama bila hata kukaribishwa,jaman sio poa mtu umewekwa bajet yako tu then wanakuvamia.Si kwa uchoyo ila inaleta kero sana, unakuta mtu una pesa kidogo kama elfu tano hivi, unasema ngoja nipitie baa hapo nipate hata vibia viwili vya kupatia usingizi niende nyumbani.
Ukiingia baa sasa unazingirwa na wakaa baa tena wengine na heshima zao, kuanza kung'ang'ania umununulie bia!!
Ndiyo jibu ni rahisi utamjibu sina hela ila sasa mpaka akuelewe ni maelezo mengi kama si kugombana.
Wakati mwingine unaweza rudia mlangoni ukicheki omba omba wa bia wanavyokukodolea macho wakingoja ukae waje anza kukupamba sifa za kindezi huku wakiomba bia.
Hii ni aibu sana, kama huna mia bora ukae home acha kukera watu.
Mtu unanunua kanyama choma nusu kamewekwa mezani tu, mtu huyo nae kuzuga na salamu mara katia fingers
Hawana heshima wala adabu tena sometimes mtu hata huna huusiano nae wa karibu.
Noma sana wanajifanya kuonja kwa kudokoa kumbe wanakula!! Smtms mtu inabidi uende mbali baa za ugenini, kitaa ni keroowanakera sio kitoto,Kuna siku me nimeenda tu baa flan mi sio mnywaji kilevi ila napenda tu kwenda baa kula nyama,nimekaa pale nikaagiza nyama kilo ikarostiwa baada tu ya kuanzia kula jamaa akaja kuchukua nyama bila hata kukaribishwa,jaman sio poa mtu umewekwa bajet yako tu then wanakuvamia.
Huku kwetu hawafai mkuu tena wakiona unakula hizo za pesa ndefu ndo huganda wanajua pesa imoo!Uzur mm sio mnywaji wa bia za kienyeji (Serengeti, Kilimanjaro na za mfanano na hizo)
Kuna aina ya pombe ukiwa unakunywa lazima wasogee watu wa hovyo hovyo
Mie hawajagi.. maana sichekagi na mbwa nikiwa eneo la kutumia jasho languHuku kwetu hawafai mkuu tena wakiona unakula hizo za pesa ndefu ndo huganda wanajua pesa imoo!
Weka nusu kizibo cha soda kila energy mkuu hawafi ila cha moto watakionaaaaaaa wakikuona wanakuhisi sindano ya chloroquine yaan kuna wengine waliacha na pombe kaka mmoja alisema majuzi jaman Mungu anajua kutumia watuwake yaani nilivyoharisha siku mbili bila kwenda kazini hata pombe sina hamu nayo tenaUtakuja kuua siku moja🤣🤣🤣🤣
Wapi iyoSi kwa uchoyo ila inaleta kero sana, unakuta mtu una pesa kidogo kama elfu tano hivi, unasema ngoja nipitie baa hapo nipate hata vibia viwili vya kupatia usingizi niende nyumbani.
Ukiingia baa sasa unazingirwa na wakaa baa tena wengine na heshima zao, kuanza kung'ang'ania umununulie bia!!
Ndiyo jibu ni rahisi utamjibu sina hela ila sasa mpaka akuelewe ni maelezo mengi kama si kugombana.
Wakati mwingine unaweza rudia mlangoni ukicheki omba omba wa bia wanavyokukodolea macho wakingoja ukae waje anza kukupamba sifa za kindezi huku wakiomba bia😳😳.
Hii ni aibu sana, kama huna mia bora ukae home acha kukera watu.
Mtu unanunua kanyama choma nusu kamewekwa mezani tu, mtu huyo nae kuzuga na salamu mara katia fingers😂😂
Hawana heshima wala adabu tena sometimes mtu hata huna huusiano nae wa karibu.
Mkuuuuuuu yaaani hii dhambi najaribu k kuiacha inanishikiliaaaa wale wa 1999Hii kali sana 😄😄
Mi kuna moja huyo alivyo niona nimekaa tuu kwenye meza yangu pekeangu.
Nae huyu hapa kaja.
Basi nikiagiza Round basi na yeye nimpatie Story zake si maisha yangu.
Alipo nitibua nipale nimepokea Simu nikaenda pembeni kidogo kuongea narudi nakuta bia zangu kampa Muhudumu azibadilishe zikawa zake na kazifungua Dah...
Muda huo sija aga nabili sija lipa nikasepa zangu

kuna watu waajabu sanaSanduku sijui Jeneza litabebwa na wanaume tumimi nanunuliaga watoto wa kike tu, siwezi kununulia mwanaume mwenzangu bia.
Angalau hawa wenzetu ukimpiga mbili tatu, anakuwa moja ya stock yako.