Wanaume Nisaidieni

Wanaume Nisaidieni

don't have sex before marriage.... Problem solved, no need to go through all that trouble. I believe God had His intentions of telling people not to commit adultery, and we are seeing now how evil and corrupted the world has become because of ignoring these simple principles outlined in scriptures,
if you do things the wrong way you can't expect the right results!

Mkuu hujawahi kufanya sex toka umezaliwa?..una umri gani now??...kama umeanza baada ya kuoa,ulioa ukiwa na umri gani?...am jst curious
 
Mkuu hujawahi kufanya sex toka umezaliwa?..una umri gani now??...kama umeanza baada ya kuoa,ulioa ukiwa na umri gani?...am jst curious
Sidhani kama ntaweza kujibu hayo maswali yako, atleast kwa sasa!
 
Rais akishashinda nakuwa rais hawezi kupiga kampeni tenaa coz kwenye uchaguzii kashindaa
 
Mimi kama mwanamke nimepitia mengi,kama mshauri pia nimepitia mengi

Naomba mnisaide tu maswali yafuatao:

1. Ni nini waga kinabadilika kwa wanaume wengi baada ya kufanya mapenzi na msichana,wasichana wengi wanalalamika baada ya kufanya mapenzi mnabadilika na wengine hamuonekani tena????what goes wrong? Je mnapenda wasichana wa-play hard au wale wanaokubali haraka????

2.Mnavyokuwa mmewaacha wasichana,waga mnaumia ile msichana anavyokuwa anakutafuta unamchunia,simu hupokei,email hujibu,nyumbani unawaambia waseme haupo??

3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?

Natumai maswali si mengi sana.

Michelle
Hizi ni kama mimi mwenyewe, sio kwa wanaume wote.
Msichana anayechukua muda mreeefu mpaka unampata, ni msichana atayefanya wewe(mwanaume) uamini kuwa umelamba dume.
Ni matarajio kuwa yale yaliyosababisha akupigishe kwata anayatekeleza.
Atasema hapendi starehe, hanywi, kasoma mpaka level Flan, hana marafiki wa ovyo ovyo, ashawahi kuumizwa so anajua uchungu wa mapenzi.
Ila mkishaanza unagundua kuwa aliongea kinyume.
Hapa hata huagi!

Ili kuonesha kuwa ulimpata kimakosa, lazima ufunge milango yote ya mawasiliano sababu wakati unafukuzia, wadau walishakuonya hukusikia sasa ukiyaona mwenyewe hamna pa kulalamika.
Hapa kumfungia vioo ndiyo tiba.

Tunachotaka msichana akupende, akutetee, hata anaposikia vijineno ajifanye anajua toka kitambo (ila mtamalizana home)
Awe tayari muda wowote kwa mahitaji ya kimwili kama ni mzima.
Asikulazimishe uvue condom sbb inamuumiza, asiwe tegemezi. Mkiwezeshana kila mmoja alete matokeo mazuri, (simaanishi usihudumie)
Atoe ushauri na pole pale unapoteleza kikazi siyo akutishe.
Asinune siku usipomsafirisha na ndege.
Asichukie kupanda boda boda au bajaj kama gari hamna.
Akutambulishe rafiki zake na ndugu zake
Asione aibu kuwa na wewe mbele ya wanafunzi/wafanyakazi wenzake na hata nduguze.
 
1. ........Wanaume tupo wa aina nyingi linapokuja suala la mapenzi. Wengi wetu huwa tunapomtokea mwanamke tunakuwa na matarajio fulani ila wengine baada ya sex wanapoona yale waliyotegemea hayapo huwa wanakula kona. Vile vile Wadada huwa mnajisahau sana mkishaona mwanaume kakolea utakuta ule utundu wa awali kwenye sex unapungua na muda mwingine mnaanza kufanya vitu vinavyosababisha mwanaume ajione hakufanya chaguo sahihi na wanaume wanaona suluhisho ni kutemana.

2. ........Kwa ujumla wanaume wengi hawapendi kuonekana hawana msimamo yaani mnapoachana isije ikatokea akabadili mwelekeo na kurudiana tena, kutokana na hali hiyo wanaona ni heri kukata mawasiliano ili kidume kisije kula matapishi yake kisha akachekwa.

3. .........Hapa kila mtu atajibu kutokana na yeye alivyo au anavyojua. Kwa mtazamo wangu kuna vitu vingi navyoangalia kwa mwanamke lakini kikubwa nilichokuwa naangalia ni pamoja na feelings zake na zangu juu ya relation yetu, kujali, heshima na nidhamu kwa ujumla, asiwe mtu wa kunifananisha na wengine pale anapoona mtu fulani anamiliki kitu fulani, awe mshauri na awe tayari kushauriwa sio kukasirikiana kila sekunde n.k n.k ila suala la sex ni la baadae sana baada ya kuona kama masuala mengine tunaenda sawa. Wanawake wengine pia hudhania akimpa mwanaume uchi haraka au akimchelewesha itasaidia kumfanya mwanaume ampende, hii hai-hold true kwa wanaume wote hapa cha msingi ni mwanamke kutumia muda wake kumsoma Mwanaume husika ni wa aina gani.
 
Wengine mnaachwa kwa sababu mtu akikugegeda anakuta mambo ni tofauti na alivyotarajia (maumbile, ufundi au labda uchafu)
 
Na mara nyingi wanaume wanatongoza wakina na genye tu, zikiisha na habari imeisha
 
sasa kama hakurithisha au kukupa vizuri utamrudia wa nini pia wakati mwingine tunapita kama field tuu
 
Nafikiri sababu ni nyingi kutegemea na mazingira husika.

1. Wanawake wengi huonyesha tamaa zao baada ya kuwa nao kimahisiano. Wakati mwingine hilo humjengea mwanaume kuwa una lengo la kumchuna. Ni vyema kama hamjazoeeana uchukue muda fulani kabla ya kuwa too demanding.

2. Wanawake wengine hawajielewi, wanakuwa na kauli zisizo nzuri. Wanaeleza waliowahi kuwa nao na kuanza kukandia kwa kujionyesha wao hawakuweza kushindwa na walivyo ngagari. Hii nayo humfanya mwanaume kusituka. Ila wengi wa namna hii huwa hawajielewi kuwa kauli zinachukiza.

3. Wnawake wengine hawana kauli za heshima kwa wenza wao. hii nayo humfanya mwanaume kuteendelea kukuthamini. Mfano unaletewa zawadi unaanza kuikandia-zawadi gani hii. unakuwa si mtu wa shukurani. Hii nayo huchangia.

Kuna mengi ila hayo ni baadhi.
 
Mimi kama mwanamke nimepitia mengi,kama mshauri pia nimepitia mengi

Naomba mnisaide tu maswali yafuatao:

1. Ni nini waga kinabadilika kwa wanaume wengi baada ya kufanya mapenzi na msichana,wasichana wengi wanalalamika baada ya kufanya mapenzi mnabadilika na wengine hamuonekani tena????what goes wrong? Je mnapenda wasichana wa-play hard au wale wanaokubali haraka????

2.Mnavyokuwa mmewaacha wasichana,waga mnaumia ile msichana anavyokuwa anakutafuta unamchunia,simu hupokei,email hujibu,nyumbani unawaambia waseme haupo??

3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?

Natumai maswali si mengi sana.

Hiyo inatokeaga tu make wakati mwingine inakuwa ulimuona binti ukazimika nae na kuwa tiari kupiga nae hatua moja mbili mbele ila kadiri na ukaribu na kifahamiana Vizuri unaona ulikosea njia hivyo unaamua kujitoa mapema. Sasa hali hiyo ikitokea ushapiga bac wanawake wengi wanachukulia ulikuja kwa ajiri ya mchezo kumbe wakati mwingine sio kwl.
 
....TRY ME....I MIGHT....Done trying babe...! I want to be sure from the beginning, you can start by saying you are different....let's do this....Will calculate the risks and if convinced, give it my best....ha ha ha ha ha!

Kama avatar yako ina depict looks zako, I bet you, it will take me not less than a year before I get fed up of you depending on how you rock me! Come on now, don't shy way now!
 
Acheni uzinzi. Subiri muolewe ndipo mmegwe. Mnahangaikia nini? Mwanaume hana akitafutacho zaidi ya kukutusua na akigundua uchi wako ni wa kawaida kama wengine anajiona mjinga alivyokuwa anahangaika kabla ya kukupata na anakudharau wewe uliyekuwa unamzungusha. Kama utapenda kuendelea kugawa uloda kabla ya ndoa, basi mtu akikuomba usimzungushe, mpe mara moja.

try to think both sides sio kuangalia KE tu..
 
Wengine mnaachwa kwa sababu mtu akikugegeda anakuta mambo ni tofauti na alivyotarajia (maumbile, ufundi au labda uchafu)

Dont enter in relationship with much expectations inapokuwa kinyume au vinginevyo ndio yanatokea kama hayo!!!
 
Dada mishell tafuta kiatu size yako, Vijana Wengi tunavaaa oversize za viatu mwisho zinatushinda tunaangalia zaidi uzuri wa nje wa kiatu, anyway Kama wewe ni kijana wa kikristo soma kitabu chote za Yerimia utaweza pata something
 
Mimi kama mwanamke nimepitia mengi,kama mshauri pia nimepitia mengi

Naomba mnisaide tu maswali yafuatao:

1. Ni nini waga kinabadilika kwa wanaume wengi baada ya kufanya mapenzi na msichana,wasichana wengi wanalalamika baada ya kufanya mapenzi mnabadilika na wengine hamuonekani tena????what goes wrong? Je mnapenda wasichana wa-play hard au wale wanaokubali haraka????

2.Mnavyokuwa mmewaacha wasichana,waga mnaumia ile msichana anavyokuwa anakutafuta unamchunia,simu hupokei,email hujibu,nyumbani unawaambia waseme haupo??

3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?

Natumai maswali si mengi sana.

Naweza kujibu kama hivi.

1. Wanaume wengi hubadilika mara tu baada ya kufanya ngono kwa sababu, ngono ni kama maji,ukiwa na kiu ya maji utayahitaji sana,,glass ya kwanza unakua una ham nayo sana,glass ya pili ham hupungua na kuendelea kadri unavyohitaji maji hadi pale kiu yako itakapokua imekata na utakua huyahitaji tena.(The law of diminishing marginal returns)

kwa kua mwanaume nia yake hua ni ngono,basi akishaipata anakua hamuhitaji tena huyo mwanamke hadi pale atakapokua na ham ya ngono tena.

2. Siumii kwa chochote,nikishamuacha inakua hivyo.

3. Mimi kwa mwanamke nataka sex,company, most importantly sex mambo mengine hua ni ziada.
 
Kama avatar yako ina depict looks zako, I bet you, it will take me not less than a year before I get fed up of you depending on how you rock me! Come on now, don't shy way now!

Ha ha ha ha haaaa, its all about you....rock you,it will take me....before I....depending on how you...Your focus is on getting not giving.... what's is so special about you? Credit,Looks,faithful....? Well, am doing great....getting better each day....my avatar does not depict my looks, am wonderfully made as any other woman God created.
 
Nikiwa mwanaumue kamiali hakika nimeguswa na the way ulivyochambua.Upo sahihi kabisa. Haya kazi kwako michelle
Michelle.......haya maswali uliyowauliza kina kaka ni magumu na kwa kweli kupata jibu straight huwa ni ngumu na mwisho some of the majibu yao au reactions zao tunazichangia sisi wenyewe.............
1. Why wanabadilika after ku-do: Inategemea na jinsi Do yenyewe ilivyokuwa (Utashangaa nikikwambia hii haihusiani na kuwa mrahisi wa kumchojolewa wala nini). Unaweza ukakutana naye leo na kesho ukajikuta umechojoa!! Kama game ilikuwa exciting na mdada umejua namna ya kuifanyia haki ule usemi wa 'First impression is the one which lasts' basi atarudi tena na tena na tena. But unaweza ukamzungusha mwaka na siku unachojoa ukayavurunda ..hutomsikia tena. Si it depends na mdada mwenyewe how you handle the situation- che muhimu jua basics za kumfanya astick ambazo zinaapply kwa wanaume wote na zile specifics za yeye anataka/pendelea nini.

2. Hakikisha unatoa full package.........some challenging ideas (asikuone we mwanamke sura tu) Cheza kwenye anga zake show your brain (If you dont have one, buy time to borrow). HAve that sense of humour, be cheerful and an entertainer (Do not overdo though).

3. Mnapokuwa hamko pamoja dont overshadow him with mijimessages, simu kila saa as if he is already committed to you ........na hapo atakapoamua kuuchuna (sometimes huwa wanatutega by just creating the gap) nawe kaa kimya........usinchoke na cm au sms za mbona hupokei simu zangu mbona vje.....mpe space.

But sikatai, some are just jerks
 
Mimi kama mwanamke nimepitia mengi,kama mshauri pia nimepitia mengi

Naomba mnisaide tu maswali yafuatao:

1. Ni nini waga kinabadilika kwa wanaume wengi baada ya kufanya mapenzi na msichana,wasichana wengi wanalalamika baada ya kufanya mapenzi mnabadilika na wengine hamuonekani tena????what goes wrong? Je mnapenda wasichana wa-play hard au wale wanaokubali haraka????

2.Mnavyokuwa mmewaacha wasichana,waga mnaumia ile msichana anavyokuwa anakutafuta unamchunia,simu hupokei,email hujibu,nyumbani unawaambia waseme haupo??

3.Waga mnataka nini hasa kwa msichana,yani focus yenu kubwa ni nini,sex,feelings,company au ni nini?

Natumai maswali si mengi sana.

Hope you ok...nitajibu kadri ya uwezo wangu na experience yangu

1.kinachobadilika baada ya kufanya mapenzi ni nafsi ya mtu kuridhia nawe kwan mahusiano ya mapenzi yameunganishwa na sex kama ndio hitaji muhimu kati yenu kama hajaridhika nawe atakuacha au pia dhumuni alilokuja nalo kwako huenda alitaman kitu fulani tu hayo mengine yakafanyika for coincidence tu or lastly ikaambatana na kutoridhishwa nawe kwa mengineyo kwa mfano interest,usafi,ufanisi kitandan,tabia,mikwaruzo or malengo kutofautiana sometimes
Pia kuwahi kukubali au kuchelewa sio kipimo cha mapenzi depends na uvulivu wake but honestly ni vyema ukawahi kukubali ili kama hajaridhishwa nawe uwahi kujua mbivu na mbichi kuliko kuchelewa kwan for boys hata ikae 20 years anakufuatilia kama hajaridhia nawe atakuacha tu or kama target ilikuwa tamaa atakuacha mwisho wa siku utajikuta umepoteza muda sana cha msingi kuujua utu wake na kujali afya kama mtafiti hata mkutane nightclub na Kudo the same day mtadumu if not hata mufuatiliane vp at the end mtaachana tu..reminds you sio kila mahusiano ndoa hufikia but just a way to reach your destiny

2. Kama anakupenda hawez kukuacha kama amekuacha hakupendi pia kama hakupendi hakuna sababu ya kuumia ila kinachotokea as a human being kukumbuka goodtimes u gat before pia kwa kukukosea but baada ya muda mfup atarecover kwan hukuwa target yake ...reminds you ogopa misamaha ya mara kwa mara kwan kinachofanyika huwa kukumbuka tu kwa muda mfup at the end atarud for who he is...the person loves you will never let you go no matter what

3.target zote hizo ulizoainisha zinawezekana lakn bahat mbaya ni ngumu kuzitambua but huwa napenda shauri kama umempenda mtu jua wajibu wako as a wife kwenye mahusiano then chagua aliye na humanity heart hata kama hatakuwa na lengo zuri kwako ubinadamu alio nao atambue wajibu unaoufanya kama mke ili afikirie no body better than at the end kufanya maamuz sahihi kwako au kubadili mawazo mabaya aliyokuwa nayo before like kukuchezea kutaman na mengine....pia kupitia ubinadamu utakupa kazi rahis kushape tabia ambazo huzipendi pasipo kupunguza thaman yako kwake.

Thanks for your time ...but reminds you ones again...mapenzi sio maisha but used kama formulae ya maisha ones u have wrong formulae na jibu la maisha pia litakuwa wrong....umiza kichwa boys are very creative anaweza kuwa na long term plans pasipo we kujua unakuja shtuka umezeeka no ones loves tena watoto kibao umezalishwa umepoteza pesa nyingi and other recourses.
ALL THE BEST ...
 
Dont expect too much from a HE, swala la true love kwao huwa ni gamble! Ukiamua kutoa just dont VICTIMIZE urself later.Life is too short tryn to cling to a person asokufeel.Kama amekupenda atakuacha kwa sababu nyingine sio kwa kuwa ameshakulamba.Nilichojifunza mwanaume akiwa na genye sisi tunatafsiri kuwa ni Love.Kwa mwanaume sex ni starehe kama sisi tunavopenda umbea au chakula fulani.Just dont take them serious, cha msingi kujikumbushia nia na madhumuni ya kuwa pamoja ni nini,nimempenda mdau alosema swala la kujitunza, japo ubikra unaweza ukawa ulisha upoteza miongo mitatu ilopita.
 
Back
Top Bottom