WANAUME: Nimewainulia mikono!!

Safi sana

Hawa dawa yao ni hiyo tu

Ukijidai mstaarabu inakula kwako siku sio nyingi!!!!!!!!!

Pongezi nyingi sana za dhati zimuendee Mshkaji huyo....... Mdada alijidai ndege mjanja mwishoni akanaswa kwenye tundu bovu... na hiyo ndo adhabu kutokana na kitendo alichomfanyia BF wake wa zamani.....
 

pole zake huyo bidada,tatizo uvumilivu wake ndo ulikuwa zero.
 
Pongezi nyingi sana za dhati zimuendee Mshkaji huyo....... Mdada alijidai ndege mjanja mwishoni akanaswa kwenye tundu bovu... na hiyo ndo adhabu kutokana na kitendo alichomfanyia BF wake wa zamani.....
no comment
 
Booooooooonge la ushauri... hahahaaaaaa!!!!! Nakushukuru! :clap2::clap2:
Unajua nini Charminglady huwa nafikiria kwanini kila siku wadada wanalalamika eti "kanitumia halafu kaniacha" ifike wakati tuwe tunasema tumetumiana au tulitumiana kisha tukaachana, hapa mjini hakuna anaetumiwa wote tunatumiana. Ukiambiwa tu kwamba unapendwa na utaolewa baaaasi unaanza nakufanya majukumu ya mke, kwa nini usiumie siku ukiachwa! kwanza wanaume hawapendi mwanamke wa hivyo kwa sababu anaanza kukuhisi unataka kumganda na unaweza ukahamia hata kabla ya ndoa, Jifanye kama huna shida ndoa kivilee. Subiri uone vitendo na si maneno
 
najiuluza baada ya huyu kaka kumpata yule dada kuna nini alikipata akarudi nacho kama ushindi huko mtwara au ni ujinga na ushamba tuu na lazima stile izo ni za kihuni na utazijua tuu mwanamke ukiwa makini.
 
Story imenifundisha WHATER WERE DOING WE MUST REMEMBER OUR AIM. Halafu imekuwa zali kuna mmoja wa Humhum JF Ananisumbua kweli. NGOJA NIMKOMESHE KWA STYLE HIYOHIYO.
 

Je ni wadada pekeyao ndio wanaotakiwa kujitunza¿¿¿??? Mdada anaweza kujitunza ila sasa huyo mwanaume, anavuwavua hutatamani kusikia kwa masikio wala kuona kwa macho!!!!!
 
teh teh.... mdada katoa papuchi kiulainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sijui atarudije kwa jamaa yake wa kwanza sasa

Haezi rudi kwa jamaaake wa kwanza make jamaa ashaoa na watoto juu... Hafai hata kuwa nyumba ndogo ya jamaa!?!
 
Mashetani huwa wanakuwa na uhusiano na mashetani wenzao, sasa kama wewe ni binadamu ya nini kudeal na viumbe ambao si Kingdom yako? Na ukiona hawakupi usingizi kwa kuwainulia miguu yote miwili basi tambua na wewe ni mwenzao.

hilo nalo neno
 
Ni kweli hao ndo kukudume kenya midume miwili imekubaliana kumuoa mdada mmoja na dada kakubali
 
Pongezi nyingi sana za dhati zimuendee Mshkaji huyo....... Mdada alijidai ndege mjanja mwishoni akanaswa kwenye tundu bovu... na hiyo ndo adhabu kutokana na kitendo alichomfanyia BF wake wa zamani.....

Exactly!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kadalikwa sasa akalale nachooooo-kombolela hilo butua mchezo uishe!!!!!!!

Mwanaume mwingine ukijifanya mgumu hata kwa baba yako anakwenda na mali anatoa,akikuhakikishia hayo tu basi umelamba joker na mchezo umeisha.!!!!
Wengine huvikwa mpaka pete ya uchumba , sasa mdada anaringisha kidole chake maskini kumbe ilikua kanya boya lol . Michezo ya namna hii si mizuri kwa kweli .
 
Haezi rudi kwa jamaaake wa kwanza make jamaa ashaoa na watoto juu... Hafai hata kuwa nyumba ndogo ya jamaa!?!

hahahahhahahaaaaa tena Amani hajafanya kama inavyotakiwa... ilitakiwa afanye zaidi ya hilo.... Halafu mbona vile visa vingine huvileti humu?
 
Wengine huvikwa mpaka pete ya uchumba , sasa mdada anaringisha kidole chake maskini kumbe ilikua kanya boya lol . Michezo ya namna hii si mizuri kwa kweli .

Hiyo sio michezo. Ni adhabu... Kumbuka kuwa what goes around comes around
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…