Hebu chungulia kule nimeishakutumia feedbackSidhani kama ni bomba I love u? i miss you? yote hayo ni kukondeshana tu cha msingi mnaduuuuu na maisha yanakwenda mbele mkikutana mnapeana ahadi nyingine tena basi hakuna cha I love you wala kiss me!
Hata mimi sipendi kuambiwa nachukiwa lol!!
"Never get angry. Never make a threat. Reason with people"Sigma i never accuse... Bebii is still learning... What i do is just ignore the guy....
Naombeni mnieleweshe jamani hv ni kwa nini wanaume wanapenda kudanganya sana na hili neno i love you
ni vizuri ukisema uwe unamaanisha.ni neno ambalo lina heshima yake. sema pale panapohusika basi. hii inaonyesha hamjui kutongoza kwani neno ni hilo tu la kumpata mtu?
The Second house on the left"Never get angry. Never make a threat. Reason with people"
Your signature speaks it all.
Or you can just "make an offer he can not refuse".
Ndo mjue kutofautisha wadada wenye nia nzuri na nyie na wachunaji.Ningekua mwanaume ningekua nawauliza kabla yangu alikua hatumii simu?!Kama jibu ni ndio basi apate vocha huko huko alikozoea.Bebii...Nirushie na voucher basi...I hate kusikia hilo neno na akinambia hivyo basi jua imekula kwake chali yangu simrushii na wala simpigii simu.. wanawake wana tabia moja ambayo huwa siipendi sana.. baby nirushie , unamtumia 5000 anakubeep ana anakutumia Sms ..Thanks
Is where I live. Karibu TFThe Second house on the left
I guess we'l get along very well...!!!
"Never get angry. Never make a threat. Reason with people"
Your signature speaks it all.
Or you can just "make an offer he can not refuse".
Ukidanganya unafanikiwa kiulaiiini. Ukileta usemakweli utaonekana wa looongi.ndo mdanganye? mwanaume kweli anatakiwa awe real ndugu
Nachukia sana mauongo yenu wanaume
Umeona akili zao, hata umpe vocha za kiasi gani ataishia ku-beep tu!Bebii...Nirushie na voucher basi...I hate kusikia hilo neno na akinambia hivyo basi jua imekula kwake chali yangu simrushii na wala simpigii simu.. wanawake wana tabia moja ambayo huwa siipendi sana.. baby nirushie , unamtumia 5000 anakubeep ana anakutumia Sms ..Thanks
The Second house on the left