Naombeni mnieleweshe jamani hv ni kwa nini wanaume wanapenda kudanganya sana na hili neno i love you
ni vizuri ukisema uwe unamaanisha.ni neno ambalo lina heshima yake. sema pale panapohusika basi. hii inaonyesha hamjui kutongoza kwani neno ni hilo tu la kumpata mtu?
Basi aendelee kuwa bila...
Sasa alinunua ya nini kama pesa ya credit hana?Aiuze basi anunue credit ili awe anaazima simu badala ya kuomba credit!Ujue its irreversible,ukishakuwa nayo ndo Basi tena, there is no turning back
trillion trillionMwanaume anayekupenda utamjua hata kama asipokutamkia hilo neno. Anayekudanganya pia utamjua hata akwambia mara trillioni.
I do more than liking you!hata wewe I like u
Kusadikika by Shaaban Robert.Mwanaume anayekupenda utamjua hata kama asipokutamkia hilo neno. Anayekudanganya pia utamjua hata akwambia mara trillioni.
Hilo nalo neno.You are absolutely right! subiri mungu akujalie akuoe,ndio utaona ni bahati kubwa hata kuitwa jina lako jina lako,maana kawaida huenda mpaka akafikia kukuita-wewe, wewe !unajidai husikiii eeeh?we kuku! it pains bt that is life!
Mimi sijawahi hata kulitumia kutongozeaI am different I guess...I hate using that word kutongozea!
Mimi sijawahi hata kulitumia kutongozea
Mwanaume anayekupenda utamjua hata kama asipokutamkia hilo neno. Anayekudanganya pia utamjua hata akwambia mara trillioni.