Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,548
- 88,542
Sawa na wanawake wahakikishe wanadate na wanaume wanaojua kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba, nkHAKIKISHA UNA DATE NA MTU AMABAYE HAJAKUZIDI SHIDA
Sawa na wanawake wahakikishe wanadate na wanaume wanaojua kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba, nkHAKIKISHA UNA DATE NA MTU AMABAYE HAJAKUZIDI SHIDA
Sijasema kuwa mm ni special kuliko wote. Usigeneralize kuwa maisha ya Hakimi ndio maisha ya binadamu wote hapa duniani aise kila mtu ana fate yake aise....usiishi kwasababu fulani aliishi hivi au kilimkuta kile.Wewe si special kuliko wote
Okey sawa
🤣🤣🤣🤭Nipee niichape masaa 3 Non stop 😃
Unahisi kat ya mwanaume na mwanamke nani anafaidika na ndoaSawa na wanawake wahakikishe wanadate na wanaume wanaojua kupika, kuosha vyombo, kufua, kusafisha nyumba, nk
😔😃😃😃 So tulia tuli
Tumekamilika bi dada
Watu wanaweza hisi utani ila ni kweli, ukijiweka mbali na hizi mambo mbona kiroho na kimwili utapiga hatua sana.Na ukitaka kumkwepa shetani, uepuke mtego wa wanawake.
KweliWatu wanaweza hisi utani ila ni kweli, ukijiweka mbali na hizi mambo mbona kiroho na kimwili utapiga hatua sana.
Ngono ni uraibu kama uraibu mwingine. Unachoeleza hakuna tofauti na mtu kupeleka pesa yake kwenye pombe. Uraibu uko kwa wanaume kama ilivyo kwa wanawake. Ndoa ndio angalau inawapa fursa ya kuendelea na uraibu wenu kwa kuridhiana nyie wawili, na kuishi pamoja. Kama hamjaridhiana, ndio utakuwa na mtazamo wa kuona mwanaume anatumika vibaya kwa kugharamia huo uraibu.Mimi nikionaga mtu hasa mwanaume anaenda kununua madada powa iwe wale wa 5K au wale wakujikuta matawi zaidi ya 100K naumia sana
SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDO UTAGUNDUA KUA UKITOA Ngono HAKUNA JAMBO LENGINE MWANAMKE ANAWEZA KU OFFER KWENYE MAHUSIANO YOYOTE NA NDO MAANA NAPINGA NDOA
Hiyo hela si ukawasaidie hata yatima basi au kuna watu wanapambana na jua kali wanachoma vitumbua , mahindi na kuuza ndizi hata hao kama hela huna kazi nazo.wasapot tu
najua sio kazi yangu ila value pesa yako
Jaribu kua na akili za kiume Bro upwiru usikufanye ushindwe kujitambua value pesa ya jasho lako u
Hutimiz malengo yako kwa sababu ya kuendekeza tamaa za ngono
Niwakumbushe pia Ndoa ni scam. Fanya makosa yote ila usioe wala usijaribu kuoa
Ndoa ndo chanzo cha umaskini na kuanguka kwako
NB: wanasema hawatak Mwanaume asie na hela sasa na wewe nini kinakufanya upende mwanamke asiye na hela ilibidi na wewe kigezo chako kiwe hela sio matako kama hana hela Usidet nae Bro
Wenye akili wamenielewa ila wanaoskilizia kwenye Kishundu hawatanielewa ila USINUNUE MALAYA WALA USIHONGE MWANAMKE YOYOTE YULE
Nina hasira sana na wajinga mnaonyenyekea Ngono
Mjue pia hakuna bilionea mdangaji na utajiri ni mindset so usishangae hata siku moja kumuona maskin mwenye pesa ndo kama hivyo hela yake anatumia kuhonga n.k
DMC
Na ni Bora huna mke Wala watoto ungewatoa hata kafara ww maana inaonekana unathamini Mali kuliko utuSaizi nina 36
Sina na sihitaji mke wala mtoto kwanza nikiona mnavyochapiwa wake zenu
Cha muhimu nina BMW x2 yang no worry