Wanaume mtumie akili sasa, tunazingua

Wanaume mtumie akili sasa, tunazingua

Mimi nikionaga mtu hasa mwanaume anaenda kununua madada powa iwe wale wa 5K au wale wakujikuta matawi zaidi ya 100K naumia sana

SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDO UTAGUNDUA KUA UKITOA Ngono HAKUNA JAMBO LENGINE MWANAMKE ANAWEZA KU OFFER KWENYE MAHUSIANO YOYOTE NA NDO MAANA NAPINGA NDOA

Hiyo hela si ukawasaidie hata yatima basi au kuna watu wanapambana na jua kali wanachoma vitumbua , mahindi na kuuza ndizi hata hao kama hela huna kazi nazo.wasapot tu

najua sio kazi yangu ila value pesa yako

Jaribu kua na akili za kiume Bro upwiru usikufanye ushindwe kujitambua value pesa ya jasho lako u

Hutimiz malengo yako kwa sababu ya kuendekeza tamaa za ngono

Niwakumbushe pia Ndoa ni scam. Fanya makosa yote ila usioe wala usijaribu kuoa
Ndoa ndo chanzo cha umaskini na kuanguka kwako

NB: wanasema hawatak Mwanaume asie na hela sasa na wewe nini kinakufanya upende mwanamke asiye na hela ilibidi na wewe kigezo chako kiwe hela sio matako kama hana hela Usidet nae Bro

Wenye akili wamenielewa ila wanaoskilizia kwenye Kishundu hawatanielewa ila USINUNUE MALAYA WALA USIHONGE MWANAMKE YOYOTE YULE

Nina hasira sana na wajinga mnaonyenyekea Ngono

Mjue pia hakuna bilionea mdangaji na utajiri ni mindset so usishangae hata siku moja kumuona maskin mwenye pesa ndo kama hivyo hela yake anatumia kuhonga n.k
DMC
Kiukweli madada poa nilinunua sana tabia chafu hii nilianzia pale kimboka Buguruni nikaendelea nayo mpaka mafiati mbeya sijisifu ila najuta kununua malaya
 
Ngono siyo Kila kitu linapokuja swala la ndoa ( kuwa na mwanamke) Kuna mambo mengi uta benefits tofauti na ngono
 
Muanzilishi wa taasisi ya ndoa ni Mungu. Ila huu mkataba wa cheti cha ndoa na sheria za kipuuzi zimeletwa na kuzimu ili kutuia wanaume na tuzidi kuishi maisha ya kuteseka. Mwanaume spiritually amebeba vitu vingi haswa vizito kiasi hata shetani hakujaribu kwenda kwa mwanaume.
 
Kwahyo kuonana Muslims na Christian wewe kwako unaonaje
Je Inawezekana ndoa kufungika bila kuleta shida
Muanzilishi wa taasisi ya ndoa ni Mungu. Ila huu mkataba wa cheti cha ndoa na sheria za kipuuzi zimeletwa na kuzimu ili kutuia wanaume na tuzidi kuishi maisha ya kuteseka. Mwanaume spiritually amebeba vitu vingi haswa vizito kiasi hata shetani hakujaribu kwenda kwa mwanaume.
 
Ulianza vizuri ila hapo kwenye kushauri watu wasioe ndo umetoa ushauri wa kiboya, mtoto wakiume hutaki kuoa unataka kufanyaje kuolewa au?
 
Kiukweli madada poa nilinunua sana tabia chafu hii nilianzia pale kimboka Buguruni nikaendelea nayo mpaka mafiati mbeya sijisifu ila najuta kununua malaya
Nin kilichokukuta boss, wape somo vijana watajifunza kitu
 
Back
Top Bottom