msukule mzembe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 295
- 371
Mimi nikionaga mtu hasa mwanaume anaenda kununua madada powa iwe wale wa 5K au wale wakujikuta matawi zaidi ya 100K naumia sana
SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDO UTAGUNDUA KUA UKITOA Ngono HAKUNA JAMBO LENGINE MWANAMKE ANAWEZA KU OFFER KWENYE MAHUSIANO YOYOTE NA NDO MAANA NAPINGA NDOA
Hiyo hela si ukawasaidie hata yatima basi au kuna watu wanapambana na jua kali wanachoma vitumbua , mahindi na kuuza ndizi hata hao kama hela huna kazi nazo.wasapot tu
najua sio kazi yangu ila value pesa yako
Jaribu kua na akili za kiume Bro upwiru usikufanye ushindwe kujitambua value pesa ya jasho lako u
Hutimiz malengo yako kwa sababu ya kuendekeza tamaa za ngono
Niwakumbushe pia Ndoa ni scam. Fanya makosa yote ila usioe wala usijaribu kuoa
Ndoa ndo chanzo cha umaskini na kuanguka kwako
NB: wanasema hawatak Mwanaume asie na hela sasa na wewe nini kinakufanya upende mwanamke asiye na hela ilibidi na wewe kigezo chako kiwe hela sio matako kama hana hela Usidet nae Bro
Wenye akili wamenielewa ila wanaoskilizia kwenye Kishundu hawatanielewa ila USINUNUE MALAYA WALA USIHONGE MWANAMKE YOYOTE YULE
Nina hasira sana na wajinga mnaonyenyekea Ngono
Mjue pia hakuna bilionea mdangaji na utajiri ni mindset so usishangae hata siku moja kumuona maskin mwenye pesa ndo kama hivyo hela yake anatumia kuhonga n.k
DMC
SIKU UTAKAYOPATA AKILI NDO UTAGUNDUA KUA UKITOA Ngono HAKUNA JAMBO LENGINE MWANAMKE ANAWEZA KU OFFER KWENYE MAHUSIANO YOYOTE NA NDO MAANA NAPINGA NDOA
Hiyo hela si ukawasaidie hata yatima basi au kuna watu wanapambana na jua kali wanachoma vitumbua , mahindi na kuuza ndizi hata hao kama hela huna kazi nazo.wasapot tu
najua sio kazi yangu ila value pesa yako
Jaribu kua na akili za kiume Bro upwiru usikufanye ushindwe kujitambua value pesa ya jasho lako u
Hutimiz malengo yako kwa sababu ya kuendekeza tamaa za ngono
Niwakumbushe pia Ndoa ni scam. Fanya makosa yote ila usioe wala usijaribu kuoa
Ndoa ndo chanzo cha umaskini na kuanguka kwako
NB: wanasema hawatak Mwanaume asie na hela sasa na wewe nini kinakufanya upende mwanamke asiye na hela ilibidi na wewe kigezo chako kiwe hela sio matako kama hana hela Usidet nae Bro
Wenye akili wamenielewa ila wanaoskilizia kwenye Kishundu hawatanielewa ila USINUNUE MALAYA WALA USIHONGE MWANAMKE YOYOTE YULE
Nina hasira sana na wajinga mnaonyenyekea Ngono
Mjue pia hakuna bilionea mdangaji na utajiri ni mindset so usishangae hata siku moja kumuona maskin mwenye pesa ndo kama hivyo hela yake anatumia kuhonga n.k
DMC