Wanaume 'msio na pesa' hapa tu ndo mnapokosea

Wanaume 'msio na pesa' hapa tu ndo mnapokosea

Kwakweli wasio na pesa leo wakupenda. Japo love ni more than money japo pesa ikikosekana inakuwa tabu.
 
Hio inaweza kuwa kweli ila impact yake ni kwa asilimia chache mno humu nchini. Kwa asilimia ya population yaweza kuwa 0.005% ya wanawake waliopo nchini ndio wanaguswa na hilo.

Waliobaki pesa mbele kama tai.
 
Wanaume wengi, hasa wa JF wanalalamika sana kuwa wanawake tunataka wanaume 'wenye pesa' au waliofanikiwa tu. Pia kuonesha hii (kukubalika bila kuwa na pesa au kuhonga) ndio concern kwa wanaume wengi ni pale nyimbo nyingi za Kitanzania message ni hiyo hiyo, mfano: "Japo sina kitu,......", "Ukawaacha wenye pesa......" Tukilala njaa......"

Nikirudi kwenye mada, Kukosa pesa sio tatizo!!!!!

Mimi ni mtu ninayependa finer things in life. Napenda vitu vizuri na sisubirii mtu anipe. Kwenye kujipa raha sinaga subira wala uoga, najigharamia. Halafu kingine ni kuwa I am generous, sio mchoyo kabisa. Kuwa na mimi na utaexperience kila ninachoexperience. Ukiwa mtu wangu automatically ntakuinclude nikienda shopping, movies, nikipanga safari ya bata nakujumuisha na kila kitu.

Sasa unakuta uko kwenye mahusiano na mtu, akishajua jinsi unaendesha maisha yako anataka kujitutumua kukuimpress. Anataka kukupa huduma zile zile unazojipa mwenyewe au hata zaidi kwa pesa ambazo hana ili tu umuone bora zaidi. Inatia huruma!

Unakuta unamuinvite mtu out anataka kulipa wakati unajua kabisa hawezi kuafford, kwanini mnajitesa wanaume. Mtu ukishapendwa usiwe na hofu, ujue umekubalika ulivyo. Matokeo yake inabidi nishushe hadhi ya starehe zangu ili mpenzi aweze kuafford, ni kuikatili nafsi huko!!!!

Na mwanaume wa hivi atake kulipia kitu halafu umwambie hapana Weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....mnuno wake hauishi leo. Atakuaccuse vitu kibao. Baada ya siku kadhaa unamkuta anakula karanga na kijoti, kisa kulipa Ankara zisizo zake.

Ndio maana wadada wanaishia kwa wenye nazo ili kuondokana na hali ya kuona huruma kila siku.
Mjirekebishe!!!!!!!!
Kosa ni kukosa pesa huo ndio ukweli
 
Wanaume wengi, hasa wa JF wanalalamika sana kuwa wanawake tunataka wanaume 'wenye pesa' au waliofanikiwa tu. Pia kuonesha hii (kukubalika bila kuwa na pesa au kuhonga) ndio concern kwa wanaume wengi ni pale nyimbo nyingi za Kitanzania message ni hiyo hiyo, mfano: "Japo sina kitu,......", "Ukawaacha wenye pesa......" Tukilala njaa......"

Nikirudi kwenye mada, Kukosa pesa sio tatizo!!!!!

Mimi ni mtu ninayependa finer things in life. Napenda vitu vizuri na sisubirii mtu anipe. Kwenye kujipa raha sinaga subira wala uoga, najigharamia. Halafu kingine ni kuwa I am generous, sio mchoyo kabisa. Kuwa na mimi na utaexperience kila ninachoexperience. Ukiwa mtu wangu automatically ntakuinclude nikienda shopping, movies, nikipanga safari ya bata nakujumuisha na kila kitu.

Sasa unakuta uko kwenye mahusiano na mtu, akishajua jinsi unaendesha maisha yako anataka kujitutumua kukuimpress. Anataka kukupa huduma zile zile unazojipa mwenyewe au hata zaidi kwa pesa ambazo hana ili tu umuone bora zaidi. Inatia huruma!

Unakuta unamuinvite mtu out anataka kulipa wakati unajua kabisa hawezi kuafford, kwanini mnajitesa wanaume. Mtu ukishapendwa usiwe na hofu, ujue umekubalika ulivyo. Matokeo yake inabidi nishushe hadhi ya starehe zangu ili mpenzi aweze kuafford, ni kuikatili nafsi huko!!!!

Na mwanaume wa hivi atake kulipia kitu halafu umwambie hapana Weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....mnuno wake hauishi leo. Atakuaccuse vitu kibao. Baada ya siku kadhaa unamkuta anakula karanga na kijoti, kisa kulipa Ankara zisizo zake.

Ndio maana wadada wanaishia kwa wenye nazo ili kuondokana na hali ya kuona huruma kila siku.
Mjirekebishe!!!!!!!!
Naomba kuwa rafiki yako Zurie ili niexperience hayo usemayo kama ni kweli
 
Huu upuuz wa kujitesa kisa umemtaman dem au dem anaejua ww unapesa kumbe huna ni mbaya sanaaa

Ila afadhali tumepitia na.kujifunza

Kiukweli siwez kwenda na dem out alafu alipie yeye hapo ukija kutoswa ni kelo balaa

Vilevile siwez kukutoa out leo alafu kesho nilale na njaa bora nipige nyeto tuu



Maana nimepitie hayo mambo ya kutokuwa na pesa

Kwa mfano kuna day nilitoka zangu external nikaenda mliman city,huku mfukon na buku tano,
Usafir kwenda unakatwa 500,ikabaki 4500/=

Nikakutana na papai pale mliman city limeivaa balaa,totozz la linasoma ardhi,
Nikamlia targert,nikapata kumsemesha,kumchekesha mwisho wa siku nikamtell tukapozee koo

Ka pub tulipo poz bint redball 3500 nami maji 1000..tayar nikawa empty mida ya saa sita flan tukapiga story mpk saba flan......then tukaachana


Mbongo nilianza mdogo mdogo na jua onfoot toka mliman city mpk external


Mbaya zaid,nilichofwata zikutimiza

Ila alikuwa mtamuuu mnooooooooo


Vijana tusake pesa tuu,hawa wanadharau sana ukiwa huna pesa

Ila.nwdays waelew sana ,wanaelewa sana uongo kuliko ukweli,kiufupi wanatafunika
 
Kama nimemwelewa mtoa mada vile!

Kwenye chemistry kuna theory moja ya heat inasema unapochanganya kitu cha moto na cha baridi pamoja, kile cha moto kitapoteza joto lake kwa kiwango sawa na kile cha baridi kitakavyogain joto

When two or more objects at different temperatures are brought together in an isolated environment, they eventually reach the same temperature by the process of heat exchange. That is, warmer materials transfer heat to colder materials until their temperatures are the same.

Ndo maana unakuta watu wanasema chemistry haijakubali, ina maana mwenye joto kagoma kugawa joto lake, au mwenye baridi kagoma kupokea joto.
Duuh
Mimi nilidhan wanapo sema chemistry haijakubali

Wana maanisha BOND
Elecrovalent bond


Maana nayo yaleta maana,okay poapoa nmekusoma mkuu
 
Duuh
Mimi nilidhan wanapo sema chemistry haijakubali

Wana maanisha BOND
Elecrovalent bond


Maana nayo yaleta maana,okay poapoa nmekusoma mkuu

Hata hilo lako nalo ni jibu mkuu, vitu vimekataa kumatch.
 
Upendo ndo wa muhimu, pesa zinatafutwa tu na sio adimu kama upendo. Umuache mtu anakupenda kisa pochi?

That is a key point umeongea Zurie.
Ukweli matatizo yapo pande zote, wapo wanaume ambao wanafikiri mapenzi ni pesa tu na kwa vile wanazo basi wanategemea kila mwanamke lazima aseme YEs saa yoyote, na wengine ni wapumbav kiasi kwamba yupo razi kukopa au kujitutumua na kima chake cha chini ili mradi tu aonyeshe yy ni matawi juu.

Then wapo wanawake ambao wao penzi means money only, no money no love. Hawa vicheche hata kama ana kazi namshahara yy anategemea kila sekunde mwanaume anunue na kulipa kila kitu, na wengine hata akipat nafasi anaweza pekuawallet na akakuibia !! Hata ukiamua kumnunulia kitu au agiza yupo razi akupe bei ya juu ya uongo ili mradi tu akuvune..! Hawa huwa hawajali status yako, au umri, au chochote ili mradi tu wallet ipo full. Hawana shukran hawa ukimpa zawadi anaweza uza, na at times anaweza kujifanya anakunywa Absolute au JD lkn hesabu zake ni kubeba lichupa zima ili akauze ..

Then kuna wachache km wewe Zurie, naamini mpo wachache sana na ambao pia unluckily wengi mnaishia kukutana na njemba za ajabu ajabu, either vicheche km hao hapo juu, au wale wanaoona wewe kutoa offer au lipia ni kuwanyanyasa !!
Unamsikia mtu bila aibu badala ya kusifia penzi lake yy anasema ngoja nikamchune demu wangu... Sasa hayo ni mapenzi gani...!!

Karne ya 21 hii, tubadilike. People can be just friends na km imepangwa mtajikuta wenyewe mnasogea step by step. Kununua au nunuliwa ni sawa tu as long as all mpo okay na hakuna masharti attached. Ni sawa na kufu nguo za mpenzi wako, pika msosi (yes whats wrong wewe mwanaume kumpikia mwenzio even gf.... na surprises mbalimbali hata kama ni just sticker notes ??
 
Olalaa sarakasi za maisha bwana mpaka mwanadam uiache hii dunia umeiti vya kutosha 😀
 
Mm Cna Pesa nabahati yakuaga na Mwanamke Asiyependa Pesa Cna Ninao Kuanao Hunifanya ATM Ataumweleze Halisia Yako Utasikia Azima Ata Kwa Rafiki Zako
 
Hizi bahati ni marachache sana kutokea...
 
Hio inaweza kuwa kweli ila impact yake ni kwa asilimia chache mno humu nchini. Kwa asilimia ya population yaweza kuwa 0.005% ya wanawake waliopo nchini ndio wanaguswa na hilo.

Waliobaki pesa mbele kama tai.
Mkuuu umedanganya

Ungeongeza asilimia 0.000001%[emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
That is a key point umeongea Zurie.
Ukweli matatizo yapo pande zote, wapo wanaume ambao wanafikiri mapenzi ni pesa tu na kwa vile wanazo basi wanategemea kila mwanamke lazima aseme YEs saa yoyote, na wengine ni wapumbav kiasi kwamba yupo razi kukopa au kujitutumua na kima chake cha chini ili mradi tu aonyeshe yy ni matawi juu.

Then wapo wanawake ambao wao penzi means money only, no money no love. Hawa vicheche hata kama ana kazi namshahara yy anategemea kila sekunde mwanaume anunue na kulipa kila kitu, na wengine hata akipat nafasi anaweza pekuawallet na akakuibia !! Hata ukiamua kumnunulia kitu au agiza yupo razi akupe bei ya juu ya uongo ili mradi tu akuvune..! Hawa huwa hawajali status yako, au umri, au chochote ili mradi tu wallet ipo full. Hawana shukran hawa ukimpa zawadi anaweza uza, na at times anaweza kujifanya anakunywa Absolute au JD lkn hesabu zake ni kubeba lichupa zima ili akauze ..

Then kuna wachache km wewe Zurie, naamini mpo wachache sana na ambao pia unluckily wengi mnaishia kukutana na njemba za ajabu ajabu, either vicheche km hao hapo juu, au wale wanaoona wewe kutoa offer au lipia ni kuwanyanyasa !!
Unamsikia mtu bila aibu badala ya kusifia penzi lake yy anasema ngoja nikamchune demu wangu... Sasa hayo ni mapenzi gani...!!

Karne ya 21 hii, tubadilike. People can be just friends na km imepangwa mtajikuta wenyewe mnasogea step by step. Kununua au nunuliwa ni sawa tu as long as all mpo okay na hakuna masharti attached. Ni sawa na kufu nguo za mpenzi wako, pika msosi (yes whats wrong wewe mwanaume kumpikia mwenzio even gf.... na surprises mbalimbali hata kama ni just sticker notes ??
Watu kwa fursa[emoji23] [emoji23] [emoji23] umewekwa kwenye list
 
Back
Top Bottom