Wanaume mnataka nini

Wanaume mnataka nini

what men want if for a lady to be pretty and offer sex without commitment. deliver those two and u will always keep him coming back
 
A man's basic needs:
1. FOOD
2. SEX
3. SILENCE
We don't ask for much, just the three above named items.
 
Haya mambo kama ni kweli unamfanyia jamaa niko tayari kufanya mapinduzi na kutangaza nia
wanataka,moja mazingira na wewe uwe safi akirudii....

..............,mbili,msosi wa nguvu kama msukuma ujue kuupika ugali lol....bahati nzuri siku hizi recipes nyingi zinapatikana mtandaoni....kama una simu yenye mtandao....sioni hili la ufundi wa jikoni likushinde,lol


.........tatu,ujitume kunako kwa bed,style tofauti kila siku anzia doggysttyle jumatatu,jumanne willbarrow aka tololi....missionary position mbuzi kagoma kwenda,halafu zigeuze hizo style week inayofuata lol...kama ulianza na doggy jumatatu malizia jumapili intead........

kwa kifupi wanaume are bunch of self-centerd hypocrites!.......................hayajali umechoka au la yenyewe yanahitaji services tu,ni mnafiki pekee ndio anawaweza...ukiwa real lazima utashindwana nao.....mtu gani real akufulie akupikie uroda akugaie hadi viatu akubrashie bila kuchoka???lazima uwe na viuelement vya unafiki ndani yako lol....ndio maana nyumba ndogo nyingi wanaziwezea sababu ni wanafiki....wanawaogesha hadi na maji ya iliki.....haingii akilini kwa mtu mwenye akili zake.......kuweka maji iliki na kukanda kanda.......majinga kweli huwa hayaonagi yanaibiwa humo.....
 
ukisema uwaze mwanaume muda wote anachokukwaza utakonda bibie dawa fanya pilika zako km huna shida vile....:juggle:
 
wanataka,moja mazingira na wewe uwe safi akirudii....

..............,mbili,msosi wa nguvu kama msukuma ujue kuupika ugali lol....bahati nzuri siku hizi recipes nyingi zinapatikana mtandaoni....kama una simu yenye mtandao....sioni hili la ufundi wa jikoni likushinde,lol


.........tatu,ujitume kunako kwa bed,style tofauti kila siku anzia doggysttyle jumatatu,jumanne willbarrow aka tololi....missionary position mbuzi kagoma kwenda,halafu zigeuze hizo style week inayofuata lol...kama ulianza na doggy jumatatu malizia jumapili intead........

kwa kifupi wanaume are bunch of self-centerd hypocrites!.......................hayajali umechoka au la yenyewe yanahitaji services tu,ni mnafiki pekee ndio anawaweza...ukiwa real lazima utashindwana nao.....mtu gani real akufulie akupikie uroda akugaie hadi viatu akubrashie bila kuchoka???lazima uwe na viuelement vya unafiki ndani yako lol....ndio maana nyumba ndogo nyingi wanaziwezea sababu ni wanafiki....wanawaogesha hadi na maji ya iliki.....haingii akilini kwa mtu mwenye akili zake.......kuweka maji iliki na kukanda kanda.......majinga kweli huwa hayaonagi yanaibiwa humo.....

Kwangu akija simuombi hayo yote anifanyie bali nitamfundisha hayo ili aone kuwa yeye mwenyewe anashiriki ipasavyo! Najuwa kuwa huu ni wakati wa kuwezeshana na sio wa ktegemeana!
 
ukisema upoteze muda kumwaza mwanaume na kero zake utakonda bure...dawa yao hao ni kupiga mzigo tu (kazai) km huna shida vile their always maproducer wa stress.:juggle:
 
jestina iyo balaa kwani wanawake tumeumbwa kuwafuRAHISHA TU WANAUME MBONA NA WAO waSITUFURAHISHE

Kwani wewe unataka kukasirisha? Kama hiyo ndiyo itakuwa nakufurahisha basi niko tayari unikasirishe ili wewe ufurahike. Kwani ile kupokea zawadi uliyosema hukuiiomba si kufurahishwa kwa mwanamke huko? Iwapo aliyosema Jestinai unayaita kuwa ni furaha ya mwanamme tu basi kumbe tatizo ni wewe si wanaume.
Hata hivyo pengine huko ulikotoka mambo hayakuwa mazuri, kwangu mimi bado nakuhakikishia kuwa tutafurahishana kwa hayo hayo uliyoyaona huko ulikotoka kuwa ni Furaha ya Bwana tu. Njoo mwezangu nikuosheshe hayo ya jesta yana raha na furaha kwa mwanamke pia.
 
kuna mtu hapendi furaha

Mradi mimi nitafurahi kuwa na wewe sijali mwengine akiwahana furaha. Tatizo lako ni kujuwa nini ninachokitaka na nishakwambia, sitaki chochote isipokuwa wewe tu!
 
ukisema upoteze muda kumwaza mwanaume na kero zake utakonda bure...dawa yao hao ni kupiga mzigo tu (kazai) km huna shida vile their always maproducer wa stress.:juggle:

kweli mapenzi nitaishia kuyasoma tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom