Wanaume mnataka nini

Wanaume mnataka nini

hiviii........usharudi toka mozambique!? au labda ni hii distance imemkwaza kidogo!
 
Ah... % ndogo ya wanaonyenyekewa kisha wakaenda nje...

Mi ningekuwa na shorty(sorry..) sio siri,na awe mnyemnyekevu,hadi leo siku ya kwenda saluni nisingemwacha home...!

kwahiyo ni unyenyekevu tu hakuna lingine? Na nyie mnanyenyekea?
 
nimeshindwa kabisa kuelewa heri niwe tu peke yangu

Mahitaji ya mwanaume yanabadilika kulingana na wakati na jinsi akili inavyoelekeza. Si unajua wanaume wanatumia akili na 'reasoning' ktk kupenda tofauti na wanawake wanaoongozwa na hisia zaidi.

Ukilijua hili utakuwa huru sana kuliko kuhangaika kujua nini hasa akihitajicho mwenzio ktk relationship. Ni heri uwe na defined rules zako kuliko kujaribu ku-satisfy man's needs, walai utaishia kunywa vidonge vya kushusha au kupandisha presha daily!
 
wanataka,moja mazingira na wewe uwe safi akirudii....

..............,mbili,msosi wa nguvu kama msukuma ujue kuupika ugali lol....bahati nzuri siku hizi recipes nyingi zinapatikana mtandaoni....kama una simu yenye mtandao....sioni hili la ufundi wa jikoni likushinde,lol


.........tatu,ujitume kunako kwa bed,style tofauti kila siku anzia doggysttyle jumatatu,jumanne willbarrow aka tololi....missionary position mbuzi kagoma kwenda,halafu zigeuze hizo style week inayofuata lol...kama ulianza na doggy jumatatu malizia jumapili intead........

kwa kifupi wanaume are bunch of self-centerd hypocrites!.......................hayajali umechoka au la yenyewe yanahitaji services tu,ni mnafiki pekee ndio anawaweza...ukiwa real lazima utashindwana nao.....mtu gani real akufulie akupikie uroda akugaie hadi viatu akubrashie bila kuchoka???lazima uwe na viuelement vya unafiki ndani yako lol....ndio maana nyumba ndogo nyingi wanaziwezea sababu ni wanafiki....wanawaogesha hadi na maji ya iliki.....haingii akilini kwa mtu mwenye akili zake.......kuweka maji iliki na kukanda kanda.......majinga kweli huwa hayaonagi yanaibiwa humo.....

ulivyowabadilikia ghafla lol!
Nilianza kusoma na impression kwamba "kumbe superwomen" are real lol...............omg kumbe unawasare!
Wanaume ni kama watoto wadogo..ni rahisi kuwadanganyia pacifier... wakadhani wananyonya nyonyo!
 
mapenzi kweli noma, mara nyingi jinsi unavyojidai kuyajua zaidi ndiyo jinsi yanavyozidi kukuchanganya... maybe it is better to take a break and re-orient yourself in a new direction
 
Mie binafs nataka kua FiRST PRIORITY kwenye kila kITU, . .lykwise wil b applied. . .
 
Wanaume huwa tunachoka haraka mwanamke mmoja.Hii ni fact pendeni msipende.
Mtuvumilie tu na mapungufu yetu.Tunatangatanaga , lakini mwisho tunarudi.
 
Siri yetu ni ndogo sana, lakini hamjishughulishi kuibaini, badala yake mmejaa umimi tu. Lakini tatizo lenu pia, mwanaume akiwa mtulivu kupita kiasi anageuka kuwa kero kwenu.
 
Wanaume huwa tunachoka haraka mwanamke mmoja.Hii ni fact pendeni msipende.
Mtuvumilie tu na mapungufu yetu.Tunatangatanaga , lakini mwisho tunarudi.

badilikeni jamani, kwani mnavyovitaka nje si muwaambie wapenzi wenu wajifunze! Au mnafikiri hao wa nje wamezaliwa wanajua?
 
wanataka,moja mazingira na wewe uwe safi akirudii....

..............,mbili,msosi wa nguvu kama msukuma ujue kuupika ugali lol....bahati nzuri siku hizi recipes nyingi zinapatikana mtandaoni....kama una simu yenye mtandao....sioni hili la ufundi wa jikoni likushinde,lol


.........tatu,ujitume kunako kwa bed,style tofauti kila siku anzia doggysttyle jumatatu,jumanne willbarrow aka tololi....missionary position mbuzi kagoma kwenda,halafu zigeuze hizo style week inayofuata lol...kama ulianza na doggy jumatatu malizia jumapili intead........

kwa kifupi wanaume are bunch of self-centerd hypocrites!.......................hayajali umechoka au la yenyewe yanahitaji services tu,ni mnafiki pekee ndio anawaweza...ukiwa real lazima utashindwana nao.....mtu gani real akufulie akupikie uroda akugaie hadi viatu akubrashie bila kuchoka???lazima uwe na viuelement vya unafiki ndani yako lol....ndio maana nyumba ndogo nyingi wanaziwezea sababu ni wanafiki....wanawaogesha hadi na maji ya iliki.....haingii akilini kwa mtu mwenye akili zake.......kuweka maji iliki na kukanda kanda.......majinga kweli huwa hayaonagi yanaibiwa humo.....
:eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows:
 
kwa kifupi wanaume are bunch of self-centerd hypocrites!.......................hayajali umechoka au la yenyewe yanahitaji services tu,ni mnafiki pekee ndio anawaweza...ukiwa real lazima utashindwana nao.....mtu gani real akufulie akupikie uroda akugaie hadi viatu akubrashie bila kuchoka???lazima uwe na viuelement vya unafiki ndani yako lol....ndio maana nyumba ndogo nyingi wanaziwezea sababu ni wanafiki....wanawaogesha hadi na maji ya iliki.....haingii akilini kwa mtu mwenye akili zake.......kuweka maji iliki na kukanda kanda.......majinga kweli huwa hayaonagi yanaibiwa humo.....

aisee umetoa kipondo cha nguvu kweli hapa kwa wanaume ingawa at the end of the day itabidi utii kiu yako na kujisalimisha huku huku ulikokuponda teh teh teh...
 
wanataka,moja mazingira na wewe uwe safi akirudii....

..............,mbili,msosi wa nguvu kama msukuma ujue kuupika ugali lol....bahati nzuri siku hizi recipes nyingi zinapatikana mtandaoni....kama una simu yenye mtandao....sioni hili la ufundi wa jikoni likushinde,lol


.........tatu,ujitume kunako kwa bed,style tofauti kila siku anzia doggysttyle jumatatu,jumanne willbarrow aka tololi....missionary position mbuzi kagoma kwenda,halafu zigeuze hizo style week inayofuata lol...kama ulianza na doggy jumatatu malizia jumapili intead........

kwa kifupi wanaume are bunch of self-centerd hypocrites!.......................hayajali umechoka au la yenyewe yanahitaji services tu,ni mnafiki pekee ndio anawaweza...ukiwa real lazima utashindwana nao.....mtu gani real akufulie akupikie uroda akugaie hadi viatu akubrashie bila kuchoka???lazima uwe na viuelement vya unafiki ndani yako lol....ndio maana nyumba ndogo nyingi wanaziwezea sababu ni wanafiki....wanawaogesha hadi na maji ya iliki.....haingii akilini kwa mtu mwenye akili zake.......kuweka maji iliki na kukanda kanda.......majinga kweli huwa hayaonagi yanaibiwa humo.....

Umemaliza..watasema ooh love girls walioko natural,utashangaa anakua na fake!.i want a woman who is down to earth mara utakuta anachunwaje!ahaha..nataka anaebembeleza,wakati yeye ni wa amri tu!.just be you!
 
Sikiliza dada, hakuna mwanaume aliyezaliwa anajua kupenda. Kupenda sio kitu natural kwa wanaume. Ni wanawake tu ambao kupenda ni asili yao. Men have to be trained to love women the way women wanataka. Ni kwasababu hiyo wanaume hujikuta wanafanya wanawa experiment wadada through sex. Huwa wanadhani kuna utimilifu au climax ya sex kwa wanawake fulani but all they discover ni mapungufu. They will never find what they really want in women.

Hili ni darasa jipya kwa wanaume wenzangu kujifunza kuwapenda wanawake wenyewe jinsi walivyo. Na kupenda ni mtu mmoja tu si zaidi. Kulala na zaidi ya mwanamke mmoja kunaleta hamu ya kutaka kuwajaribu wengine kwa kudhani wata experience a new taste. Wakiipata hiyo new taste huchosha pia baada ya muda fulani kabla ya kuanza mbio za kutafuta a new taste again. Next time nitaleta dawa ya hili tatizo. Pole hata hivyo.
 
badilikeni jamani, kwani mnavyovitaka nje si muwaambie wapenzi wenu wajifunze! Au mnafikiri hao wa nje wamezaliwa wanajua?

Wifi yako hataki kunipa line ya tiGo inanibidi nimwache nitoke nje kuisaka nisuuze nafsi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom