Wanaume mnataka mgundue nini

EVERY MAN CHEATS... Ni mwanamke mpumbavu tu ndio ata kaa naku jinadi mwanaume wangu is soo faithful hana wanawake nje ni mimi tu ... sioni ishara yoyote ya yeye kua na mwanamke nje... okay listen “mwanaume anae m respect mwanamke wake wa ndoa kamwe hawezi kujiachia kihasara hasara ili ajulikane ana piga show nje” kama mwanaume haku heshimu ndio atakuonyesha habari picha kabisa kwamba bana mimi na piga show nje.
 
Kwa iyo unakaka kusema papuchi ya miaka 18 na papuchi ya miaka 54 zote ziko sawa?
 
The small the area the high the pressure
But with deep stick, this relatively small papy area increases the pressure on the hole and causes one's feet to sink....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
tunawasaidieni nyinyi maana mko wengi mno, unakuta kinondoni ila dume 600,000 , kike 1,500,000 , na katika wanaume 600,000 ondoa watoto+mashoga+mahanithi+ED apa unabakia na 300,000 ivi!
inabidi mshukuru sa ingine
 
Yaahhh akuchukue jumla tu sio kuniibia ibia wakati Mimi ndo nakutunza !!...

Akuchukue ,,namm niende kwa Kapeace Wangu
Bora Kapeace Wangu mzungu sana..hanipi presha wala hanaga cha kunificha!!.

Kapeace I miss you baby Wangu
Basi mtagi aje anipege pole mwenzie nishapewa kibutiiii hivyooov
Bora Kapeace Wangu mzungu sana..hanipi presha wala hanaga cha kunificha!!.

Kapeace I miss you baby Wangu
Haya basi nitagieee kapeace aje ashuhudie navyopigwa kibuti mwenziwwe ....nitagie kapeace
 
Kwani hilo nalo la kushangaza. Mbona kawaida yetu sisi madume tuliokamilika? "Wanaume wote wa baba mmoja mama tofauti "
 
Basi mtagi aje anipege pole mwenzie nishapewa kibutiiii hivyooov

Haya basi nitagieee kapeace aje ashuhudie navyopigwa kibuti mwenziwwe ....nitagie kapeace
Aaaahhh yule hanaga muda kabisa !.. Kwanza akija ataniuliza tuu .....ndo nitamwambia usiwe nahofu wewe baki na na mwanadar es salama ...mie nibaki namuhaya wangu supu supu !!!.kishikaji yaaani.
Amen chief.
 
Kawaida tu. Ulitaka nikukute wewe ukiwa na kibenten au kibabu saizi ya kaka yangu? Pengine hata ww hiyo hela ya shopping ulipewa na shugadady. Ww njoo tu nyumbani tule sikuu pamoja, cha ajabu nn hapo mwanangu? Si bora umwambie mama yako kuliko kunitangaza jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…