Wanaume mnaowaachia wake zenu Kazi ya kupeleka Watoto kupanda School Vans alfajiri kuweni makini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,732
109,163
Leo ni mara ya Tatu kila nikiwa naenda Beach Kupasha (Mazoezini) Alfajiri ili nipate Nguvu Tukuka za Kuwajibika vyema Kitandani na wale ninaowabahatisha katika 18 zangu nakutana na Wake za Watu (tena Wengine nawajua kabisa) wakiwa Wanabanduliwa / Wanalalwa na Wajuba.

Nilichokiona leo na ambacho hakika ndicho Kimeniuma GENTAMYCINE japo nami ningealikwa katika Kubandua ningeenda ni Kuona Mke wa Mtu anabanduliwa na Mjuba kwa Style ambayo tokea nizaliwe sijawahi Kuiona na hata katika Movies zote 13,700 za Pono nilizozitizama bado Style hiyo haijawahi Kutumika.

Wakati Mimi nikiwa namuonea Huruma Mbanduliwaji kwa hiyo Style Tukuka nikidhani labda anaumia cha Kushangaza Yeye (Mbanduliwaji) ndiyo Kwanza alikuwa anatoa Ushirkiano kwa Mbanduaji (Mjuba) huku akilia Kimahaba hali iliyonifanya na Mimi pia Mnara wangu wa Babeli usimame na uanze kutafuta Signal na mpaka sasa hazijakamata labda mpaka Mchana au Jioni Dishi la Goba au Msasani likikamata.

Enyi Wanaume jitahidini mno kila Alfajiri nyie ndiyo muwe mnawapeleka Watoto zenu Kupanda Basi zao za Shule (School Van) kwani Wengi wenu Kitendo cha Jukumu hilo Kuwaachia Wake zenu nisiwafiche Mnagongewa mno Wake zenu na Wajuba ambao Wengi wao hubandua Bao Moja (Kimoko tu) Cha Fasta Fasta ili wawahi kurejea Makwenu na msiwashtukie.


Wafuatao ndiyo Wanaoongoza Kubandua Wake za Watu kila Alfajiri wanapokuwa Wanasindikiza Watoto Barabarani kupanda Gari (Basi) za Shule.....

1. Madereva wa Gari za Kukodi

2. Madereva Bajaji

3. Walinzi wa Site

4. Wauza Bucha

5. Madereva wa Gari za Shule

6. Wafanyakazi wa Guest / Lodge

7. Wanaume wanaofanya Mazoezi (ila siyo GENTAMYCINE) kila Alfajiri

Ngoja nami nijitahidi kumtafuta wa kuwa nae ili niigilizie ile Style Tukuka ya Mjuba Mbanduaji kwani nimeipenda na inaonekana hata baadhi ya Wadada / Wanaipenda na Kuifurahia kama ambavyo Wanawake wengi Wanakiri kuwa Kufanya Mapenzi (Kubanduana / Kubanduliwa) ndani ya Maji ya Bahari ya Indian Ocean ni Raha na husikia Utamu maradufu kuliko ule wa ambao wanakuwa wako nchi Kavu.
 
Nilishasema nikiwa na Demu Mweupe halafu ana Shundu ( Inye ) nikisikia kuna Mtu ananibandulia kitakachofuata Kwake ni achague moja tu nimpe Tiketi ya haraka kwenda Kutibiwa ICU Muhimbili au nimuwahishe Makazi yake mapya na ya Milele pale Kinondoni.
Mkuu wanawake warembo sana huleta umasikini ukiwaoa, pili wanaweza kukukosesha amani ya moyo...sijui kwanini hawajui kutulia wala kukataa
 
Afsa inaelekea una uelewa mpana sana dhidi ya hivi viumbe. Ni kweli Mwanamke mzuri/mrembo hanaga akili! Kuhusu swala la kukataa sijachimba vyema hapo wala sijawa na uhakika 🤔
Nina uhakika 100%
Katika warembo 1,000 utabahatisha mmoja au 2 wenye misimamo.
Wengi wso wakiona pesa chupi zinafunguka zenyewe, sijui shida yao nini hasa. (Naongelea warembo, cheupe pee, mishepu na kila aina ya uzuri)

Note: wanawake wenye uzuri wa wastani ndio ma wife material wengi wao.
Warembo ni vichomi, viburi, vicheche aaa
 
Back
Top Bottom