Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri, khaaa! Stukeni jamani.
wanawake wanaochelewa kufika kileleni wanakera sana,mapenzi sio vita jaman ni starehe tu maana naona ule msemo wa kazi tu watu wameuleta kitandan badala ya kupeleka kazini
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri, khaaa! Stukeni jamani.
Kwaiyo wewe unatombesha....! Wanaume wangapi, wanaingia kwako dk sifuri chali...!
 
Ngoja Niendelea Kumsoma Joram Kiango katika Mikataba ya Kishetani huku nikiangalia na kuperuzi comment za Watu maana miye nimeshakuwa mzee.... Nameless girl tia neno huku
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri, khaaa! Stukeni jamani.
Loooh!!!!ndo umeamua kutunanga vibaya namna hii???????
 
Anko elewa kiswahili sijazungumzia habar ya vibamia... wapo wenye vibamia na wanafanya game ya maana...point yangu ni pale mwanaume anapo wahi kufika haraka wakat bado mwanamke hajafika... alafu usiwe Kama umelazimishwa kuchangia hoja Kama huna cha kushauri potezea sio habari za watu 100...ooh Mara nimejitia matango.. kua kma mtu mzima na use unafikiria cha kuandika. Kama ulisha kutana na mwanamke anaejitia tango Sasa sio Mimi ishia hukoooo...!!nimezungimza kitu ambacho wanawake wengi kinawasibu kuto kirishishwa na sio habari ya vibamia, wala tango...
Nimefatilia hii mada tangu jana,sasa kama ni wewe mwenye hiyo changamoto njoo PM nikushauri kitu,lakini kama umeuliza kwa niaba ya wamama wote wanaokabiliana na hii changamoto hilo ni suala lingine maana kwa sasa hili ni tatizo kubwa kwa wanaume wengi.na ukitaka kujua ukubwa wa tatizo hili,pita pembeni ya barabara usikie kuna watu wanauza dawa za asili alafu wataje kwamba na hiyo ya kuchelewesha wanayo,utaona umati unamiminika.ni hayo tu!
 
Upo na mwanamke mmekaa wewe unawaza mipango yakupata pesa mpate maendeleo lenyewe badala liku-boost akili bwana fanya hivi fanya vile ukibutua tutasogea siku mbili tatu,anaanza kukuchokoza kutaka kupigwa mashine,
Hivi kumbe wanaume peke yao ndo wanawazaga mipango ya maendeleo eh?
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri, khaaa! Stukeni jamani.
Wenzako wanatafuta goli mapema ili wajitangazie ushindi wewe unawaza goli dk 90
 
Zamani wanawake hawakuwa huru na sexuality yao. Mambo yamebadilika lakini wanaume wengi WA KIBONGO wana mawazo ya kizamani. Ukiwa muwazi kama hivi watakuita kila aina ya Jina, na kusema una matatizo.
 
Endeleeni kuchelewa katika tendo la ndoa ili muambukizane magonjwa utafiti unaonyesha wale woote waendao mbio na kufika mapena kileleni waba asilia ndogo mno wa kupata magonjwa ya kuambukiza ukilinganisha na wale wanaohamia kifuni
Kweli eeeeh!
 
ww huna kasoro zako umezitambua yawezekana haupo sawa ndo maana anakukimbia anafanya bas tu
 
Back
Top Bottom