Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

Huyu atakuwa bonge la noma kwenye masuala ya kugegedana.Sasa inaonekana yeye kawaida yake wala si mmoja
CityHunter1: kaa chini upumzike maana itakua umechoka na kazi ten ikiwezekana lala tutakutana keshooo kwenye Uzi mpya
 
sasa ndugu ww unatoaga ushirikiano? wengine wapo wapo tu, hawataki washikwe waguswe, ebu usiwe mnafiki asee
 
Wanaume bhana waseme wao, wanawake midomo yao ina gundi

Nyie mnayoyaletaga humu, ya kipuuzi kipuuzi uwaga yanaboost uchumi au yanatumbua majipu???
Sasa si wameguswa kwenye tatizo lao sugu la sasa, mwanaume kukosa nguvu za kiume + pesa ni uchizi tosha. Hizo sababu sasa mie nacheka tu.
 
Unatoa ushirikiano? isijekua kila unapoguswa hutaki ukigeuzwa Hivi hutaki!
Maana warembo wengine wanaboa kishenzi ukipeleka mkono utasikia aah usishike huko
ukimkunja hivi utasikia aah! nnamshono ok geuka hivi utasikia hivyo siitaki sijazoea sasa unatakaje jiachie uone kazi
utaipenda tu ukinyooka kama mende nami nanyooka dakika sifuri nasepa naenda kunyoosha mbavu mbele huo kwa wasio kua wavivu
Yaani ukiona anakusumbua hivyo basi jitathmini mnoooo, tena hata usiongee.
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri, khaaa! Stukeni jamani.
Hovyoooo!! sasa utachelewaje kufika mapema wakati unakaa mbezi na safari umeianzia mwenge. Unataka uchelewe ufike kesho labda uwe mwehu
 
Dada zangu ukiona menaume anawahi kufika wewe ndo unatatizo.
 
Eitha shida yako pesa aondoke au humtaki na karazimisha kwahiyo inakuwa maliza uondoke. Lakini mkiwa pamoja kwa nia moja kwa ajiri ya kufurahi alafu safari yake ikawa fupi wewe ukabaki njiani juwa wewe mwanamke fala hujuhi wajibu wako na sababu ya kuwa hapo
 
Mtabaki kugongewa tuu madem zenu... jifanye tuu eti unasepa.... utakuja lia machozi ya damu pale mpnz wako anakuletea zarau pale akipata mtu anae mfikisha kileleni.
Soma post zangu zote kisha utajua mimi ni nani, mimi nawakojolesha bila huruma viumbe kama wewe.
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri, khaaa! Stukeni jamani.
Wewe ni mfanyabiashara nini mbona unatumia jumla umewatesti wanaume wote..Try me
Alfu na nyie mnapenda kuhesabu misumari hamkatiki na wengine ampendi kutufanyia blowjobs..
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri, khaaa! Stukeni jamani.
Ww unataka bao la dakika ngap?!
 
Back
Top Bottom